Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,236
- 1,257
Jibu hiyo ya kwanza tuPole sana, umekuwa kama kasuku kila mahali unapeleka hoja zako hizi, ambazo zinajibiwa kikamilifu.
Kama wewe ndio wa kuonewa huruma sana, kwani mnalichukulia hili swala kama vile ni imani fulani ya kidini.
Hoja zako zote zimeshajibiwa zaidi ya mara elfu moja, unachokifanya wewe ni kuendeleza vurugu za kitoto..