alivyokukwa anachukua mademu za watu club kwa nguvu sasa ni muda wake wa kuyalipia maovu yake yote aliyoyatenda.Duh mbona wanamfanyia hivyo jamaa wa watu!
alivyokukwa anachukua mademu za watu club kwa nguvu sasa ni muda wake wa kuyalipia maovu yake yote aliyoyatenda.Duh mbona wanamfanyia hivyo jamaa wa watu!
Sasa ebu vaaa viatu vya wakili... mtuhumiwa huyu umejiridhisha kuwa anakuzunguka kwa kupishanisha maelezo au ulimwambia hivi anakwambia vile mara kwa mara wewe wakili utafanyeje?? In short hamuelewani kwenye biashara!Kwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Na kujiaharibia taalumaKumtetea bashite au Sabaya mahakamani ni kumlia bure pesa zake
Kesi ya kubumba tu.
Free Sabaya.
Timu Sabaya msijilinganishe na Mbowe ambaye alikuwa smart kwenye dealings zake na Lt. Urio. Sabaya anaponzwa na matendo yake ya dharau aliyokuwa akiyaweka mubashara.Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Ilifikia hatua Sabaya anapora wake na wapenzi wa watu kwa ubabe anaenda kuwabaka!
Ilifikia hatua Sabaya anakuja na kikosi chake mchana kweupe na usiku mnene kuporwa mali za watu.
Ilifikia kipindi Sabaya anajiapiza kudhulumu uhai wa wapinzani wake.
Ilifikia kipindi Sabaya anawazushia uongo wafanyabiashara wa wilaya nyingine ili wafilisiwe!
CC @ Stroke
Kesi ya kubumba tu.
Free Sabaya.
Labda utakua mgongano wa maswala ya kifedha. Labda wakili hakulipwaKwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Huyu wakili ni mwanaume na sio mwanamkeUmeshaambiwa kutokana na maadili hawezi kutamka Wala kuyasema hadharani
7baya ni Mlawiti na jamaa alikuwa anamtafutia vibint na kumkamatia. Unafikiri Wakili wa Kike asemeje kimaadili
USHAHIDI WA WAZI JAMAA NI JAMBAZI SASA MAWAKILI WAFANYEJE WNAJARIBU TU KUMBEBA MTU ASIYEBEBEKADuh mbona wanamfanyia hivyo jamaa wa watu!
Itabidi vifungo viende pamoja tu iwe ile ile 30Si bado ana kesi zingine pia akipigwa 30 zingine
ATUMIKIE 30Nini ni msimamo wa viongozi wa dini kuhusu Sabaya?
Wamefananisha vipi? Mbowe ni Gaidi lkn Sabaya si GaidiHalafu kuna majuha wanafananisha kesi ya Sabaya na ya Mbowe!
Kuna uwezekano mtuhumiwa alikuwa(ndivyo anavyoona)anataka aonekane hana hatia yoyote na hakuwahi kufahamiana na mtuhumiwa namba moja.Kitu ambacho,kwa ushahidi uliokwishatolewa,mazingira halisi na ukweli si kweli.Alipangwa akubali kwa hiyari ili apigwe "mvua" chache,hataki.Atabugia jeuri yake.Kwani, wakili kazi yake ni kusema vile anavyoona inafaa au kuzungumza kile walichokubaliana na mteja wake?
Kwa mfn mteja akikiri kosa mbele yake, anachotakiwa kufanya ni kutumia uwezo wake kumtetea mteja wake hadi mwisho.
sasa kila wakili akiogopa fedheha, nani atatetea wenye hatia?
Umeshiba furu.Wamefananisha vipi? Mbowe ni Gaidi lkn Sabaya si Gaidi
Kafungue space au zoom ukishindwa clubhouse ndio hizo mlisema haziwezi kusaidia haya sasa anzeni na NyieSabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Akifikiria raha alizokuwa anakula huku anamdekea mwendazake,hana hamu.Atakuwa analialia tu.Hiyo hesabu yako haiko sawa mkuu, atatoka mwaka 2041, ndio hukumu ya miaka yake 30 itamalizika.
Free ipi tena wakati kashakula 30Kesi ya kubumba tu.
Free Sabaya.
Keh keh keheeeUmeshiba furu.