Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,277
- 6,439
Kwahiyo wanabagua?Hawana habari nage
Kwahiyo wanabagua?Hawana habari nage
Piga mvua hiyo takatakaSabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Umeshaambiwa kutokana na maadili hawezi kutamka Wala kuyasema hadharaniKwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Hapana Sabaya kawadunga vijana misumari inch 6 miguuni, kawalawiti na kamvamia Mbowe pale Protea HotelSabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Sasa unataka akaulize nini wakati wakili kasema mbele ya hakimu kuwa hawezi kueleza kwa kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yake?Ilitakiwa mambo aliyoambiwa wakili na mteja wake umuulize wakili kisha uje na facts. Ndiyo utokee hapa jukwaani kuandika haya uliyoyaandika. Tofauti na hivyo tunakuchukulia kwamba wewe ni muongo tu.
Mteja hana salio,wakili ameona Cheng's nyingiKwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Umeshaambiwa kutokana na maadili hawezi kutamka Wala kuyasema hadharani
7baya ni Mlawiti na jamaa alikuwa anamtafutia vibint na kumkamatia. Unafikiri Wakili wa Kike asemeje kimaadili
Mimi kama wakili msomi sikubaliani na wewe alichofanya wakili ni sahihi kujitoa maana yake angeendelea na hilo jambo lingemuathiri katika kazi yake kama wakili. Yapo ya kuvumilia ukapigapiga ngwine ukapita ila kuna mengine inakuwa vigumu ni either do or die.Kwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Kama ile milioni 90 ya mroso aliyoenda kuchukua pale CRDB kwa morombo hakuna aliyemtuma bana mengine msiwasingizie watu ni tamaa zake binafsi.Walio kuwa wanamtuma kufanya uovu yaani ma-CCM, ndiyo leo hii wanao mkimbiza na tairi na petroli, hii siyo fair kabisa!
Unamwambia mleta uzi au mwandishi wa gazeti la Mwananchi? 😁Ilitakiwa mambo aliyoambiwa wakili na mteja wake umuulize wakili kisha uje na facts. Ndiyo utokee hapa jukwaani kuandika haya uliyoyaandika. Tofauti na hivyo tunakuchukulia kwamba wewe ni muongo tu.
Dogo anadhani bado ni DC!!Wakili wa mmoja wa watu wanoshtakiwa pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha amejiondoa kumtetea mteja wake.
Wakili Fridoline Bwemelo amesema ameamua kujiondoa kumtetea mshtakiwa wa tatu katika kesi hiyuo, Watson Mwahomange kwa kile alichodai kuwepo mgongano wa kimaslahi na kulinda maadili yake.
Bwemelo ameeleza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 7, 2022 mbele ya Hakimu mkazi Mwandamizi, Dk Patricia Kisinda.
Alidai kuna mambo ambayo mshitakiwa huyo alimtaka ayaeleze mahakamani lakini akaona asingeweza kufanya hivyo kutokana na maadili yake ya kitaaluma.
”Mimi kwa kiapo changu kama ofisa wa mahakama sikuwa tayari kukieleza hicho ambacho naona kitaende kinyume na maadili yangu kama wakili au ofisa wa mahakama,” amesema.
Chanzo : Mwananchi
Vipi kama angeendelea kama "unavyotaka" halafu anaye tetewa ampinge huyo wakili katikati ya shauri?Think twice and properly!Kwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Vipi kama angeendelea kama "unavyotaka" halafu anaye tetewa ampinge huyo wakili katikati ya shauri?Think twice and properly!
Mawakili wote ni wafanyakazi wa mahakama lazima kwanza atii kinachomfanya kuwa wakili.Kwa mtazamo wangu naona huyo wakili amepoteza sifa ya kuwa WAKILI. Kwasababu naamini wakili ni mtu anayesimama badala ya mtu mwingine katika kila hali, ili kuweza kumtetea. Angeweza kutumia weledi katika taaluma yake kueleza hicho alichoambiwa pasipo utata.
Kama mteja ameweza kumueleza, yeye ameshindwa vipi kueleza mahakama kwa namna isiyoleta mgongano?
Nadhani kuna wakati wakili anatakiwa kubeba dhamana ya mteja wake na ndio maana alikubali kumtetea. Au mawakili wasomi mnasemaje?
Mkuu uko sawa kbs? Tendea haki japo bundle lako basi.Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Kwani naye alishitakiwa kwa ugaidi?Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Alikuwa ana mla tigo, so demu kaharibika vibayaNilikuwa naulizia yule demu wa Sabaya yuko wapi kuna mdau hajaoa.
Kizuri kula na nduguyo nina uhakika Sabaya hawezi kukatalia kitu hakitumii wala hana uwezo wa kukipata kwa sasa