white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
Hiyo hesabu yako haiko sawa mkuu, atatoka mwaka 2041, ndio hukumu ya miaka yake 30 itamalizika.Mwaka 2050 siyo mbali sabaya awe mpole tu akitoka jela aje afungue tu kanisa amtumikie Mungu.