Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,188
- 29,933
Mama Samia kasema na kumwomba Ruto awashughulikie wapinzani huko Kenya kama yeye anvyowashughulikia huku Tanzania.
Hii kauli si tu kuwa ni undiplomatic lakini ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi jirani.
Kwa viwango vyovyote si kauli ya kistaarabu kisiasa.
Hapo ndio najiuliza kama speech writers wa Rais kama wako likizo.
Kauli ya mama ni ya viwango vya -"who are you?", visivyo na tija kwa mustakabali wa mahusiano mema kati yetu na majirani.