jamni mmesoma mtanzania leo? aliyemsaidia ana mkapa kudhulumu wafanyakazi wa serikali nyumba hizi, ni mramba wakati akiwa mkuu wa mkoa wa mbeya.
mkapa hakuwa na ujanja wowote kwa pesambili mramba kwa sababu hizi
1.0, wakati mkapa akiwa waziri wa mambo ya nje, hakuwa na kibanda zaidi ya nyumba alikokuwa anaishi ambayo serikali ilipangishwa toka national housing, nyumba hii ipo osterbay karibu na agakhan hospital, kwa miaka kadhaa ilikuwa inatumika kama makzi ya waziri wa mambo ya nje
2, mwinyi rais alipofanya mabadiliko ya kwanza ya baraza la mawaziri akamteua diria hassan kwa waziri wa mambo ya nje, mkapa akaundiwa wizara mpya inayoitwa ya habari.
na kama mnakumbuka mramba kiakota akabaki kuwa mwenyekiti wa bodi ya national housing corporation
3. diria hakufanya ajizi akadai apewe ile nyumba. ilibidi mzee mzima aadhirike wakataka kuhamia pagala la mama ana liko kimara, halikuwa limemalizika, hata umeme wala maji hamna.
4. mzee mzima mkapa akamkimbillia mramba amtamfutiie house ya chapu chapu huko NHC, mramba akamwita mwanasheria wa NHC asaidie hili. kumbe serikali ilikuwa kweli imepanga ile nyumba lakini haikuwa inalipa kodi. ikatafutwa lophole, kodi ikalipwa kwa mkupuo kwa jina la mkapa, na NHC, ikatamka kuwa mkapa mdo mpangaji halali wa ile house, mpooo!!!!, yule mwanasheria aliyecheza hiyo simtaji, ila alikuja kuukata sana kwenye utawala wa mkap. mpooo? kwa hiyo mramba akamsadia mzee mzima asidhiriwe na mzanzibar diria
AKUFAAYE WAKATI WA DHIKI?........kama siyo kimbelembele cha mrema kumpaka mramba kule rombo mpaka akashindwa ubunge 1995! mramba angekuwa ndiye waziri mkuu...
YETU MACHOOOOOOOOOOOOOOOOO
jamani hili swala ajibu mzindakaya mwanafamilia wa mr clean!!!!!
mama mkapa mbona ameiba vidogo jamani hao wa epa mbona hamsemi na yeye si binadamu na anatamani mbona mawaziri wengi tu wameiba na wengine wanaua vijana wetu pale magomeni na sinza kwa pesa nyingi tu haramu na kuna nyumba zinajulikana zinatengenneza mizigo kusafirisha nje!!!!wangapi hawawajui wale vijana pale airport wanaosindikiza wauza unga mpaka mlangoni na kuwapokea mpaka kwenye gari!!!!hizi story nimeahakikishiwa na mmoja wa mdogo wangu yuko usalama alikuwa pale wamempeleka moja ya mashirika ya umma ....
mwacheni alichoona kuchukua nae achekue jamani/!!!!!salimu bado uko dar ????????
Ufisadi haukutosha kuwapa fedha za kutosha? ni mpaka tena wawanyonye waalimu jamani? Mgodi wa kiwira mbona uanwapa pesa nyingi ? ulafi huu ndio utawaangamiza kabisa .
Hivi ule mfuko wa EOTF ni wa kwake binafsi ama nao kaupora tuu?
Mpaka kieleweke, kama ulikuwa hujui ngoja nikupe ukweli. Mfuko wa EOTF ni mali halali ya mama Anna Mkapa. Hata kama ilianzishwa ikulu na ikapata wafadhili wa ndani na nje kwa msaada wa serikali na bunge lenu la wabunge makanjanja lakini Anna aliianzisha kwa mtaji wake mwenyewe. Kumbuka mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe. Anna aliweka nguvu zake mwenyewe kuipata EOTF.
EOTF ni mali halali ya Anna Mkapa kama ilivyo WAMA ambayo ni mali halali ya mama Salma Kikwete. Nyie mlie tu, hapa hanyang'anywi mtu. Jiandaeni kushuhudia mama Salma Kikwete akiondoka na WAMA yake.
Mpaka kieleweke, kama ulikuwa hujui ngoja nikupe ukweli. Mfuko wa EOTF ni mali halali ya mama Anna Mkapa. Hata kama ilianzishwa ikulu na ikapata wafadhili wa ndani na nje kwa msaada wa serikali na bunge lenu la wabunge makanjanja lakini Anna aliianzisha kwa mtaji wake mwenyewe. Kumbuka mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe. Anna aliweka nguvu zake mwenyewe kuipata EOTF.
EOTF ni mali halali ya Anna Mkapa kama ilivyo WAMA ambayo ni mali halali ya mama Salma Kikwete. Nyie mlie tu, hapa hanyang'anywi mtu. Jiandaeni kushuhudia mama Salma Kikwete akiondoka na WAMA yake.
Kama mifuko hii ni MALI yao; kwa nini wanasubiri waume zao waingie IKULU yetu ndipo waianzishe?
Ikulu ndiko mitaji inakopatikana kwa urahisi. Mbona watu wengi wamepata mitaji kupitia mashirika ya umma lakini hamuwasakami kama mama???? Mama kawatumikia miaka kumi bila mshahara. Sasa kumbe mlitegemea yeye aishije??? Mlitegemea mama akale polisi???
Duh! Hivi wauza pweza na ngisi pale forodhani ni wabara... eh!?....pale forodhan tulipokuwa tukiingia ...leo hii kumefungwa... ni kwamba mke wa RAIS wa ZANZIBAR mama shadya karume katunukiwa kipande ile...kwa hiyo wale ndeugu zzetu waliotoka bara kuja zanzibar kuuza pweza ni wakati wa kurudi kwao...