Halafu huyu mleta hii mada , haeleweki?
Analeta udini na ukabila, hana data kamili anataja tu majina ya watu, kwenye post nyingi anataja tu ukabila na udini , kama hana point aache kuandika kitu asichokuwa na uhakika nacho,JF where we dare to talk openly. kama huna data usiandike kitu
Analeta udini na ukabila, hana data kamili anataja tu majina ya watu, kwenye post nyingi anataja tu ukabila na udini , kama hana point aache kuandika kitu asichokuwa na uhakika nacho,JF where we dare to talk openly. kama huna data usiandike kitu