GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 108,995
Yaani huu Uginjwa wa Macho Mekundu ulioingia sasa Mkoani Dodoma kutokea Dar es Salaam unatukwaza kwani kwa Macho yetu kuwa Mekundu hivi tunaonekana ni Wavuta Bangi wakati wengine hata hiyo Bangi yenyewe hatujui amesema Mkazi Mmoja wa Mkoa wa Dodoma.
Chanzo: Nipashe ya Radio One Asubuhi hii..
Wagogo bhana kwahiyo kila Mtu tu akiwa na Macho Mekundu basi huyo ni Mvuta Bangi?
Sasa kama Mkoa una Watu Wapuuzi kama huyu unadhani unastahili hata kuwa Mji Mkuu?
Sijui Mzanaki Mwenzangu nae Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alirogwa na nani hadi akauchagua Mkoa wa Dodoma kuwa ndiyo Mji Mkuu wa Tanzania..
Kwangu Mimi hadi hii leo Mji Mkuu wangu Binafsi wa Tanzania ni Dar es Salaam na ikitokea nikaja kuwa Rais wa Tanzania haraka sana nitaamuru Mji Mkuu uwe ni Dar es Salaam na Majengo yote ya Dodoma yauzwe na Pesa itakayopatikana itumike kuwasaidia Omba Omba wa Mkoa huo na nyingine ikaboreshe Miundombinu ya Hospitali yao Kubwa ya Wendawazimu ya Mirembe ambayo ilijengwa kwa Kuwalenga hao hao Wakazi wa Mkoa huo wa Dodoma.
Chanzo: Nipashe ya Radio One Asubuhi hii..
Wagogo bhana kwahiyo kila Mtu tu akiwa na Macho Mekundu basi huyo ni Mvuta Bangi?
Sasa kama Mkoa una Watu Wapuuzi kama huyu unadhani unastahili hata kuwa Mji Mkuu?
Sijui Mzanaki Mwenzangu nae Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alirogwa na nani hadi akauchagua Mkoa wa Dodoma kuwa ndiyo Mji Mkuu wa Tanzania..
Kwangu Mimi hadi hii leo Mji Mkuu wangu Binafsi wa Tanzania ni Dar es Salaam na ikitokea nikaja kuwa Rais wa Tanzania haraka sana nitaamuru Mji Mkuu uwe ni Dar es Salaam na Majengo yote ya Dodoma yauzwe na Pesa itakayopatikana itumike kuwasaidia Omba Omba wa Mkoa huo na nyingine ikaboreshe Miundombinu ya Hospitali yao Kubwa ya Wendawazimu ya Mirembe ambayo ilijengwa kwa Kuwalenga hao hao Wakazi wa Mkoa huo wa Dodoma.