Wanchi wa Mkoa wa Dar es Salaam, wametakiwa kuchangamkia fursa ya Takataka zilizopo kwenye mitaa yao, kwani zinaweza kuwa chanzo cha mapato na kuondokana na tatizo la ajira ambalo ni janga kwa watu wengi.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati anafanya ukaguzi kwenye kiwanda cha kuchakata takataka kilichopo eneo la viwanda jijini Dar es Salaam leo Februari 21,2024.
Aidha Chalamila amewataka Manispaa ya Kinondoni kupunguza usumbufu kwa watu wenye viwanda vya aina hiyo ili kupunguza mrundikano wa takataka kwenye maeneo yao.
Credit - EastAfricaTv
Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati anafanya ukaguzi kwenye kiwanda cha kuchakata takataka kilichopo eneo la viwanda jijini Dar es Salaam leo Februari 21,2024.
Aidha Chalamila amewataka Manispaa ya Kinondoni kupunguza usumbufu kwa watu wenye viwanda vya aina hiyo ili kupunguza mrundikano wa takataka kwenye maeneo yao.
Credit - EastAfricaTv