MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
- Jumamosi hii Miss Ilala at Kempisk Hyatt na Isnta party mwezi ujao mwanza
Le Mutuz
Ukija mwanza na ujinga wako huu hakika hutapata watu.
- Jumamosi hii Miss Ilala at Kempisk Hyatt na Isnta party mwezi ujao mwanza
Le Mutuz
Deus, kumbuka kuna kiapo ulitoa mahakamani wakati unatoa ushahidi labda kwanza ukikane na utoe sababu za kukikana.
Salaam!
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
.
- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!
Le Mutuz
le mutuz ushabiki sawa lkn huu ni ujinga jumla kwa nn ukubali kufungwa halafu uongee na dialo ndiyo useme ukweli labda kwa sababu nchi yetu hatuko serious kwa kila jambo vinginevyo hii siyo issue hata hivyo hajasema lolote, but inavyoonekana jamaa kapata dawa ya tumbo, kwa akili ya kawaida tu.
Ni kwa nini kila kitu kinachukuliwa kisiasa, ikiwemo na uhalifu? Natumaini huyu bwana anajua analolisema. Ningefurahi ikiwa vyombo vya usalama vitafanyia kazi taarifa zake na yeye akiwa wa kwanza kuhusika wakiwemo pia wale wote alioshirikiana au anaoshirikiana nao.Mkuu unaandika humu JF kututishia au? Mbona JF sio mahali pake? Usisemee humu JF. Nenda kwa DPP au kwa IGP au kwa Werema, au Jaji Mkuu. Hao ndo watakusaidia. Watayapima maneno yako, wakiona yanafaa kwa lolote watayachukulia hatua.
Kutishiwa mbona jambo la kawaida tu. Hata kuuawa, mbona jambo la kawaida tu. Hujasikia binti aliyefanyiwa unyama wa kutisha wiki ilopita halafu bado wakauchukua na uhai wake, na kumweka uchi mtaroni?
Usiogope, sema lakini semea mahali stahiki, na ni kwa hao nlokuambia. Kama ulifungwa kwa kuonewa, nenda kwa walio tofauti na serekali. Tafuta msaada, Haki za Binadamu. Usitishie watu na weye kuwa unajua kuchonga. Amka asubuhi, chonga sana ila chongea penyewe wala usipotee njia mchongo wako ukapotea tena.
Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.
Labda Mama yako afufuke ndio utaweza kuiua chadema vinginevyo endelea kujisoup uso utakate laana nyieKuongea kweli ndio haki pekee utakayomtendea marehemu Chacha Wangwe. Otherwise dhambi itakuandama mpaka mwisho wa maisha yako.
kULIKUA NA HAJA GANI YA KUSEMA UNATAKA KUSEMA HILI HALAFU HUSEMI?
Huna tofauti na mtusa anaetaka kujiua halafu eti anaaga, aaagh wapi!! anayejiua mnakuta tu keshajitundika na wala hua haagi mtu.....mimi nilidhani nakuta bonnnngeeeeeeee la ujumbe umetiririka mbaya kumbe nii huu upuuzi. ok ok kwahio una mpango kusema lini?
Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.
Duh "Benazir" !
Sasa mimi naingiaje hapa? Povu ulilotoa hapa linatosha.Niongeze lingine la nini?
huyu alishasema yote mahakamani na kesi ikafungwa,labda ifunguliwe upya!Ni kwa nini kila kitu kinachukuliwa kisiasa, ikiwemo na uhalifu? Natumaini huyu bwana anajua analolisema. Ningefurahi ikiwa vyombo vya usalama vitafanyia kazi taarifa zake na yeye akiwa wa kwanza kuhusika wakiwemo pia wale wote alioshirikiana au anaoshirikiana nao.
Makamanda wenzako walikutetea sana ulipokuja na maelezo yako kwenye ule uzi lakini leo wanakugeuka.kweli tanzania hatuna vijana.
Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.
Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'
Naamini kwa Mungu siku zote
Naamini nikifa ni kwa Mpango wake
Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.
Deus Mallya
Dar es Salaam.