Wakati wa mimi kusema umefika

Wakati wa mimi kusema umefika

kwa sasa nitakuwa mtizamaji tu na kutetea na kupigania chama changu ccm maana swala la mbowe kumuua chacha wangwe nilishasema sana nikiwa chadema.Mazwazwa iko siku mtayajua haya
 
Mbowe pole sana una vijana waoga sana! Yani wote wako hoi sasa hivi na wamesahau tena hule msemo kuwa walianza na Mungu!

Sasa Leo ndio Leo mboga zinamwagwa na sahani zinavunjwa kabisa!

Inaonekana kuna kitu chadema wanaficha maana naona vijana wana pressure sana.


Huwezi kuongea kiswahili fasaha hata kuandika huwezi? Hovyo kabisa upstairs! Halafu ndiyo mijitu yanayoshinda hapa JF kama watetezi wa Lumumba. Stupid!
 
Ni kwa nini kila kitu kinachukuliwa kisiasa, ikiwemo na uhalifu? Natumaini huyu bwana anajua analolisema. Ningefurahi ikiwa vyombo vya usalama vitafanyia kazi taarifa zake na yeye akiwa wa kwanza kuhusika wakiwemo pia wale wote alioshirikiana au anaoshirikiana nao.


Getstart;
Umejijibu mwenyewe. Kila kitu kinachukuliwa kama nguzo au ngazi ya kupatia umaarufu. Kwa kuwa huyu mtu ameamua kuwainua watu flan flan waliokwisha shindwa kisiasa, wanataka kumtoa kafara huyu kijana, aweze kuwa taa yao ya kuinuka tena.
Just imagine, Mallya ailshatumikia kifungo chake, ametoka, leo aje huku jf kusambaza virusi vyake kuhusu watu waliomtuma kazi miaka iliyopita.
Tungekuwa watu makini, huyu ni wa kunyongea sokoni watu wamwone. Kosa; Kuua kwa kukusudia Kiongozi mashuhuri wa watu.
Kweli pesa, fedheha! Na huu ubunge wa kitz ni zaidi ya wendawazimu.
 
huyu alishasema yote mahakamani na kesi ikafungwa,labda ifunguliwe upya!
Ndiyo maana ni muhimu akisema nje ya aliyoyatamka au kuyaeleza mahakamani anapaswa kuwajibishwa kisheria. Kinyume chake tunafanya mzaa na uhalifu wa kisiasa tukijua kuwa hakuna matata...
 
Getstart;
Umejijibu mwenyewe. Kila kitu kinachukuliwa kama nguzo au ngazi ya kupatia umaarufu. Kwa kuwa huyu mtu ameamua kuwainua watu flan flan waliokwisha shindwa kisiasa, wanataka kumtoa kafara huyu kijana, aweze kuwa taa yao ya kuinuka tena.
Just imagine, Mallya ailshatumikia kifungo chake, ametoka, leo aje huku jf kusambaza virusi vyake kuhusu watu waliomtuma kazi miaka iliyopita.
Tungekuwa watu makini, huyu ni wa kunyongea sokoni watu wamwone. Kosa; Kuua kwa kukusudia Kiongozi mashuhuri wa watu.
Kweli pesa, fedheha! Na huu ubunge wa kitz ni zaidi ya wendawazimu.
Naam. Ili kukomesha tabla hii ni vyema kauli yake isichuliwe kwa mzaa. Maneno nje ya yale aliyoyasema mahakamani anapaswa kuwajibika kisheria.
 
Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.

Alaah akbar! kaka funguka Mbowe alipokua anaua ulikuwa pamoja naye. Kama hakika unayo kwa nini usiisaidie Police Mbowe ahukumiwe? Ningekuwa Police leo hii ningekuarest Ukatoe ushahidi
 
- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!

Le Mutuz

Wewe mbona huwa ni kubwa J katika comments zako???,hivi wewe huoni kuwa huyu jamaa ni mpuuzi na anatakiwa kuupuzwa tu?, Huyu jamaa alishindwa nini kuongea huo ukweli wakati kesi ikiendelea mahakamani?.Jamaa yangu ilazimishe basi akiri yako ipevuke katika kufikiri.Issue sasa hivi ni Katiba mpya na maliasili/raslimali zetu na siyo Mchange wala Mallya.
 
kwahiyo bado mipo yenu na akina diallo bado haijakamilika? au ndio mnaanza muvi yenu part 1 uone mvuto wa raia ni upi? na je ukisema tofauti na ulichokisema mahakamani utakuwa umedanganya mahakama, sasa ushauri hii muvi yenu imeshavuja, usimtumie marehemu kwa ajili ya siasa, fikiria mzazi/ndugu yako anatumiwa kisiasa halafu ni marehemu kweli ni uungwana? aya njoo ueleze hiko unachokitaka ila jua kuwa mmechelewa kwa sasa, wananchi tumeshajua mbivu ni zipi.
 
kwa sasa nitakuwa mtizamaji tu na kutetea na kupigania chama changu ccm maana swala la mbowe kumuua chacha wangwe nilishasema sana nikiwa chadema.Mazwazwa iko siku mtayajua haya
Vijana mnapoelekea siyo, mnatoa tuhuma za kuuwa?

flani kamuuwa fulani mnaona ni rahisi kihivyo tu siyo?

Nataka kuwachukulia hatua sasa,kama ni maccm unayatetea na dio wenye dola kwa nini hawachukuihatua?

Nami naanza kuwachukulia hatua sasa...
 
Ebu kwanza, funguni braki za mdomo na makalio...Kwani huyu Deus F Mallya kasema lipi haswa linalowatikisa kiasi hiki? Hajasema neno tayari watu roho juu kuna nini?
 
Last edited by a moderator:
Deus utakapokuwa tayari urudi useme huo ukweli.. Alafu pia usisahau kututhibitishia ama kukanusha juu ya kikao chenu na Boss wa Sahara communication.
Kisha utueleze wewe ni mwanachama wa Chama Kipi cha Siasa.
 
kwanini hukusema pindi uko mahakamani?kwanini uone kuna uchaguzi ndio usema unataka kusema?siku zote ulikuwa wap?acha unafiki wako.
 
Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.
Hivi hiki ni kimalila au?
 
Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.

Mbowe Tunamchagua tena aendelee Kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA..

Wee endelea kuwaza Kimasaburi huko mtaa wa Lumumba.
 
achen siasa za kitoto deus,za ku2mwa 2mwa na ccm,watz wengi 2naiamin cdm tunamwamin mbowe.hv nafsi zenu haziwasuti kuzusha uongo? Au kwenu bora tumbo?
 
Back
Top Bottom