Wakati wa mimi kusema umefika

Wakati wa mimi kusema umefika

Hi HA HA maana yaje nini? Ama kweli upumba.vu wa mtu hauonekani mpaka aongee kwanza. Mtu mzima unatakiwa utulize kichwa uandike kitu chenye mantiki.
- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!

Le Mutuz
 
Wahuni jela inawasubiri

Hii kesi hata mwanasheria/wakili aliyesomea sheria OUT (Open University of Tanzania) atashinda, wala upande wa utetezi haitahitaji wakili aliyepitia vyuo gwiji kama UDSM au Havard. Lumumba mnajihangaisha bure.
 
Hii kesi hata mwanasheria/wakili aliyesomea sheria OUT (Open University of Tanzania) atashinda, wala upande wa utetezi haitahitaji wakili aliyepitia vyuo gwiji kama UDSM au Havard. Lumumba mnajihangaisha bure.

Umetaja Digrii ya OUT nimekumbuka eti Salma Kikwete nae ni grajueti wa Open! Teh teh teh
 
Hana nia ya kusema na nahisi sio Deus mwenyewe na kama mwenyewe basi kukaa jela kumempunguza akili kidogo.. Hakua na haja ya kuongea kama hataki kusema lolote ni kujipotezea muda tu.
 
Makamanda wenzako walikutetea sana ulipokuja na maelezo yako kwenye ule uzi lakini leo wanakugeuka.kweli tanzania hatuna vijana.

Makamanda wamemgeuka na yeye anataka kumwaga mboga na kupasua sahani!
 
Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.
 
Familia ya Chacha wangwe ipo kimya ikishuhudia Baba/kaka/mjomba wao akidhihakiwa mitandaoni. Familia ipo kimya ikishuhudia Marehemu wao akifanywa ngazi za kisiasa. Familia ya Wangwe ipo kimya ikiwaacha wahuni wapeane pesa kwa ajili ya kutoa matamko ya kupotosha. Familia ya wangwe imeamua bila haya wala soni, kutanguliza matumbo yao bila kujalipendwa wao anavyodhalilishwa, kukejeliwa, kudhihakiwa, kufanywa chbo cha kisiasa. Familia ya Wangwe inajua kabisa Marehemu alipaswa aheshimiwe. Kaaz kweli kweli
 
Ishu sio kuongea mahakamani ata hapa ameposti kichwa cha habari na habari yenyewe ni tofauti wakati wa kuongea umefika na hajaongea chochote zaidi ya kulalamika na kukwepa kuongea
Ulikua wapi siku zote?, tuiite nini hii? maana ni zaidi ya njaa na unafiki uliokubuhu, Nyie mnaoekti uana siasa ni washenzi sana......
 
Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.

Mbowe tunamchagua tena kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa. We endelea kujamba jamba tu mitandaoni
 
wewe nawe ni zaidi ya ebola kwenye siasa... ulisema wapi mbowe kamuua chacha wangwe mitandaoni au polisi na mahakamani??? unzihirisha chama chako ccm hakiwezi kazi kwa kushindwa kumkamata na kumshitaki mbowe kwa kumuua chacha wangwe.....poleni



Mimi binafsi nilishasema sana sana kuhusu Mbowe kumuua Chacha Wangwe but nikapuuzwa na kutukanywa but iko siku Mazwazwa wataujua ukweli maana ukweli huwa haupotei bali huchelewa tu.Mazwazwa iko siku mtajua tu.
 
Back
Top Bottom