William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Wewe mbona huwa ni kubwa J katika comments zako???,hivi wewe huoni kuwa huyu jamaa ni mpuuzi na anatakiwa kuupuzwa tu?, Huyu jamaa alishindwa nini kuongea huo ukweli wakati kesi ikiendelea mahakamani?.Jamaa yangu ilazimishe basi akiri yako ipevuke katika kufikiri.Issue sasa hivi ni Katiba mpya na maliasili/raslimali zetu na siyo Mchange wala Mallya.
Well said mkuu.......nimemshauri kama analo la kusema aliseme haraka tena kwenye mamlaka husika alikuwa wapi muda wote huo........? Mikwara ya kitoto kabisa
- Mkuu mbona nilikuwa nakuheshimu sana kumbe ndio tabia zako hizi maana huwezi kusema njia ambayo hujawahi kuipitia U know mbona mnajiabisha kwa kudhani mnawaabisha wengine duh umejivua sana nguo hapo kaka kwamba ndio tabia zako hizo!!
Le Mutuz
Mkuu Mtela, kwanza asante kwa kulisemea hili, ila pia hongera sana kwa kukaa nalo hadi leo bila kuliripo katika vyombo husika!. Tena una bahati Tanzania ni nchi yenye inteligensia nyoro nyoro, vinginevyo ungekuwa nchi za wenzetu, saa hizi ni saa nyingi ungeishakuwa unany.a debe!.
Kitendo cha kujua uhalifu unapangwa kutendwa, au umetendeka na kukaa kimya bila kuripoti kwenye vyombo husika, ni kosa la jinai, na mhalifu akipatikana unaweza kuunganishwa kama accessory before/after the facts!, na akitiwa hatiani, umetiwa hatiani kwa kosa lile lile!.
Asante.
Pasco
Watu wa namna yake si wa kuwashabikia kabisa
Mkuu Mtela, kwanza asante kwa kulisemea hili, ila pia hongera sana kwa kukaa nalo hadi leo bila kuliripo katika vyombo husika!. Tena una bahati Tanzania ni nchi yenye inteligensia nyoro nyoro, vinginevyo ungekuwa nchi za wenzetu, saa hizi ni saa nyingi ungeishakuwa unany.a debe!.
Kitendo cha kujua uhalifu unapangwa kutendwa, au umetendeka na kukaa kimya bila kuripoti kwenye vyombo husika, ni kosa la jinai, na mhalifu akipatikana unaweza kuunganishwa kama accessory before/after the facts!, na akitiwa hatiani, umetiwa hatiani kwa kosa lile lile!.
Asante.
Pasco
Mkuu Mtazamo, kwanza asante kwa kutambua kuwa sometimes huwa nawashangaza hata hao!, mimi sina kambi, si na chama, sina watu, bali siku zote nasimama kwenye kweli kwa sababu hatimaye yote yatapita lakini mwisho wa siku, ni kweli tuu ndio itasimama!.:A S wink: sometimes unawashangaza hata wao ..... hawaamini kama unaweza kuwapa za uso ..soon utaitwa pandikizi la Mbowe......:A S 109:
Mkuu W. J. Malecela pole kwa kukukwaza! Ila wakati mwingine watu huwa wanauzi sana. Wanakuja na hoja zinazochochea hasira kwa makusudi ili uchukie. Zipo hoja ( kama zako zingine) unajua kabisa hizi ni jokes tuu ili pamoja na kujadili mada vilevile furaha na vicheko viwepo. Ila huyu kijana kapitiliza kabisa. Hataki kujifunza kwa waliomzidi maarifa na ufahamu.
Sent from my iPad using JamiiForums
Usimtishe mwache aseme hawa wote waliwahi kifanya kazi cdm makao makuu wanasiri kuwa za mauajiMkuu Mtela, kwanza asante kwa kulisemea hili, ila pia hongera sana kwa kukaa nalo hadi leo bila kuliripo katika vyombo husika!. Tena una bahati Tanzania ni nchi yenye inteligensia nyoro nyoro, vinginevyo ungekuwa nchi za wenzetu, saa hizi ni saa nyingi ungeishakuwa unany.a debe!.
Kitendo cha kujua uhalifu unapangwa kutendwa, au umetendeka na kukaa kimya bila kuripoti kwenye vyombo husika, ni kosa la jinai, na mhalifu akipatikana unaweza kuunganishwa kama accessory before/after the facts!, na akitiwa hatiani, umetiwa hatiani kwa kosa lile lile!.
Asante.
Pasco
Kama unatumika kwa vile kipindi cha uchaguzi ndani ya chama kimefika basi umepotea njia. Kumbuka humu JF watu walikutetea sana na hoja nyingi za kizushi kuwa ile haikuwa ajali bali ni mpango wa mauaji ulioandaliwa na Chadema.
Wewe binafsi ulisema mengi sana na tena hoja zako nyingi ulimshirikisha MUNGU kuwa anaujua ukweli wa jambo hilo unalojitetea dhidi ya wanaCCM waliokutuhumu mengi. Hata mahakama ya sheria iliiona ile ajali kama ajali zingine tuu.
Hivi karibuni kuna vijana wanaotumika na CCM kama Mchange, Mtela na Shoza wamekuwa wakitoa taarifa za ajabu ajabu na kwa vile tuu serikali hii inaendeshwa ki mazabe mazabe basi ndio maana hao vijana hawako Segerea.
Huwezi kujitapa hadharani kuwa umeshiriki mauaji ya mtu ukapona. Wewe utakaa ndani na uliyemtaja atachunguzwa ili kupata ushahidi.
Tetesi kuwa ulikuwa na mawasiliano ya siri na Mratibu wa "CHAFUA CHADEMA" yule mzee fisadi wa Elimu na mali za umma Bw Diallo ulipaswa uzitolee ufafanuzi na kujisafisha. Kama ni kweli anakutumia nakuhakikisha utajijutia siku moja na hao wanaokutumia (CCM) watakutosa.
Nakushauri kama kuna njama zilifanyika kati yako na baadhi ya watu ili ile ionekane ajali wakati sio ajali bali ni njama mbaya basi funga safari na hilo tamko lako kalitolee kule TARIME. Kisha ndio uje hapa JF kutufahamisha kilichotokea kama utakuwa hai.
Sent from my iPad using JamiiForums
- Hiyo demokrasia ya lichama lenu kumpiga ngumi yoyote anayeuliza maswali magumu ndani ya chama chenu bakini na ujinga wenu huko huko wacha kijana aseme tutachambua ukweli upo wapi na uongo upo wapi, kama hmtaki kumsikiliza fungeni Radio zenu!1
Le Mutuz
Ulikua wapi siku zote?, tuiite nini hii? maana ni zaidi ya njaa na unafiki uliokubuhu,
Nyie mnaoekti uana siasa ni washenzi sana......
Wewe umebaki kuvalishwa gauni tuu. Unless uwe unavalishwa usiku na watu hawafahamu. Kama serikali inayoongozwa na chama chako ulishaiambia kuwa Mbowe alimuua Wangwe inakuwa dhaifu kiasi cha kutochukua hatua za kisheria bado unaipigia chapuo basi wewe ni Zoba. Au ndio iliyokupuuza na kukutukana?
Angalia hayo maisha uliyoamua kuishi unamfedhehesha sana mama yako ambaye watu wanamheshimu.
Sent from my iPad using JamiiForums
Mkuu BMO, asante kwa ushauri huu kwa huyu dogo, wasiwasi wangu sio ukweli kujulikana, bali hii dilly dallying ya nseme nsiseme!, isije akawa silenced jumla!.
10.USHAURI WANGU KWAKO DEUS MALLYA;
Tafuta mwanasheria akushauri kwa kuwa ulishatumikia kifungo chako kidogo huku ukiwa umeacha kovu ambalo kamwe halitafutia kwa wanafamilia, bora ungekaa kimya kwasababu kisheria suala hili lilishaisha vinginevyo ukweli utakao utoa leo utai-provoke mahakama lazima kila kitu kianze upya.