Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Yaani wewe ndiye wale wale tu afu tofautisha kufahamu mbususu na kuitumia, yeye alikua anataka kuitumia fyuu[emoji57][emoji57]
Mbona kwa hasira ivi sasa??[emoji38]

Huwezi ifahamu mbususu ya umpendae bila kuitumia.
Narudi palepale , jamaa alikuwa sahii.
 
Kwahiyo mkuu exchange ya pesa au msosi ni kupewa mbususu? Mbona mnataka kufanya wadada wote tunajiuza nyie. Kwa sababu umelipia msosi at the first date ndiyo na mbususu upewe bila kujali factors zingine? Je magonjwa nk umenipima? Aargh hukukosewa kuitwa jambazi wewe

Tunakosea, kwa mabeberu anayepanga outing ndiye anayelipia bills
 
Ukamuona Rotimi aka shemeji[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kitu sura ya Rotimiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3]usimfanyie hivo mkuu
[emoji23] Nmemwambia ukweli akija kuachwa muacho mmoja akaumia ndo atakomaa kimapenzi..

Kuachwa kwa mara ya kwanza kunauma hasa ukute ww ndo umekufa umeoza kwenye penzi [emoji3]
 
....Hatukugombana hata ila zikapita siku nne hapatikani namba zake zote muda huo kila mtu yuko mkoa tofauti, Ikabidi nitafute ndugu zake na rafiki zake wa karibu kujua nini kinaendelea huko, Majibu wanadai hata nyumbani hayupo katoweka tu hata wao hawajui alipo make hakuacha hata viashiria (Ukweli hakuna aliejua alipo)

Baada ya siku kusonga na stress juu, baada ya week ijumaa moja mdogo ake akanicall na kuniambia Times9 imeletwa barua nyumbani dada ndio ivo tena kashaolewa, Nikasema Okay poa hakuna shida...

Ikapita miaka mbili bila kuwahi kuwasiliana hata kidogo, Mdogo wake alienda msalimia dada mtu ndio akawa anamsumbua dogo, mpigie Times9 nataka nimsalimie! Najua nilimfanyia kitu mbaya sana nataka kumuomba msamaha..

......Shortly, Tulisalimiana tu na story za hapa na pale akadai hajui kwanini alichukua uamuzi wa ghafla vile bila sababu alijikuta tu anaolewa ila akiwa bado ananipenda! Nikamwambia acha uhuni wewe.
 
Mi mtu akionesha tu dalili za kutoeleweka najiweka kando, sijawahi jua sababu na wala huwa sitaki kujua..

Tena siku hizi huwa nafuta namba haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kitu sura ya Rotimiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza niliogopa,ikabidi nichukue miwani nivae[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Buhaaaahaaa nyie mnaniua mjue
 
Back
Top Bottom