Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,465
- 183,588
Tulekangaine kwemanila ijueli ndekile umweta akanchanganya!Mpola shost!
Tulekangaine kwemanila ijueli ndekile umweta akanchanganya!Mpola shost!
Ekye ekikazi kina ebishuba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpola shost!
NobeiyaTulekangaine kwemanila ijueli ndekile umweta akanchanganya!
Nikwo! Toubona okuaiyolekya okwoina bakazi bangi?? Ntinkwenda dharaau! NayeyamNobeiya
Hahaha hahahanilikuta vidonge vya arv kwenye mkoba wake nilipo hoji majimu niriyo pewa adi nilichanganyikiwa
Mbona umekuw mkali ivo na tuhumu juu KWA kabila fulan mkuu[emoji15]We unawashwa eeh, kuna mahali umekotiwa au kiherehere na ushamba wa kihaya??[emoji57][emoji57]
mkuu,nahisi aliendelea kukutafuta ili mrudiane....Hatukugombana hata ila zikapita siku nne hapatikani namba zake zote muda huo kila mtu yuko mkoa tofauti, Ikabidi nitafute ndugu zake na rafiki zake wa karibu kujua nini kinaendelea huko, Majibu wanadai hata nyumbani hayupo katoweka tu hata wao hawajui alipo make hakuacha hata viashiria (Ukweli hakuna aliejua alipo)
Baada ya siku kusonga na stress juu, baada ya week ijumaa moja mdogo ake akanicall na kuniambia Times9 imeletwa barua nyumbani dada ndio ivo tena kashaolewa, Nikasema Okay poa hakuna shida...
Ikapita miaka mbili bila kuwahi kuwasiliana hata kidogo, Mdogo wake alienda msalimia dada mtu ndio akawa anamsumbua dogo, mpigie Times9 nataka nimsalimie! Najua nilimfanyia kitu mbaya sana nataka kumuomba msamaha..
......Shortly, Tulisalimiana tu na story za hapa na pale akadai hajui kwanini alichukua uamuzi wa ghafla vile bila sababu alijikuta tu anaolewa ila akiwa bado ananipenda! Nikamwambia acha uhuni wewe.
🤣nilikuta vidonge vya arv kwenye mkoba wake nilipo hoji majimu niriyo pewa adi nilichanganyikiwa
Tupo saresareBahati mbaya sijawahi achwa sijui nitoe sababu za kuacha
Thank you dear[emoji120]Ni jambo zuri kuona umeweza kukubaliana na hali. Happy for you.
Exactly! Ndio ivo alianza kuniletea pigo za, ooh unajua ilkua bahati mbaya tu kukuacha, mara ooh jamaa anampiga sana bora ww Times9 waga mpole, mara maisha magumu... Nikaona huyu alichokitegemea kukikuta huko kakikosa..mkuu,nahisi aliendelea kukutafuta ili mrudiane
Mi mmoja nimezaa naye mtoto mmoja.Alinitumia msg mi mwezi ujao naolewa nikamtumia emoj za kucheka.
Oh no!Naulaumu mnara wa Babeli.Wapi mkalimani wa taifa...?Nikwo! Toubona okuaiyolekya okwoina bakazi bangi?? Ntinkwenda dharaau! Nayeyam
Mukaba mwendagana muno, omuganyire kazirooNikwo! Toubona okuaiyolekya okwoina bakazi bangi?? Ntinkwenda dharaau! Nayeyam
Ok mkuu, nimeshafutaMbona umekuw mkali ivo na tuhumu juu KWA kabila fulan mkuu[emoji15]
Kalamuganyira neijashubayo! Bora amwangile kimo! Atamuganyira!Mukaba mwendagana muno, omuganyire kaziroo