Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Huo muandiko mmh, bila shaka she's under 18yrs right?, hayo mambo ya kutaka kujua jua vitu wanafanyaga watoto wadogo wakiwa kwenye stage ya ukuaji[emoji848]

Ila mkuu hako kapicha hapo ni ka kwako? Nimejaribu kuzoom in hivi ila kama sielewii[emoji3][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alini whatsap, sijihisi kuwa na wewe tena, sina furaha kama zamani, "tuachanae" sikumjibu nikaendelea na mambo yangu mengine, akanitumia sms ya kawaida kesho yake asubuh, sikumjibu pia, akapiga sana simu sikupokea, baada ya siku tatu nikapokea, akaniuliza jumbe zangu umeziona? Nimjibu "zipi"?.....
😀 😀 😀
Imekaa kibingwa sana hii
 
Mimi aliniambia

"I'm sorry Sinyanyuki Niueni, i need space. Nahitaji kua mwenyewe kwa sasa ili niendelee kutafakari maisha yangu. Nahitaji kubaki single girl".

Sikumjibu kitu lkn baada ya wiki mbili akaanza kua ktk mahusiano na classmate wangu wa pale chuoni. Mpaka leo mapenzi sina hamu nayo.
 
Et wangu kapima PID af kasema nimemuambukiza kanipiga kibut mi kwenda kupima ugonjwa wowote wa zinaa....Wik ya pil sasa nimeuchuna tu
PID anaweza jiambukiza yeye mwenyewe bila hata kufanya matusi.
 
Sawa, ahsante 🙄, ila sasa hiyo bikra au used angejuaje wakati ndiyo kashaondoka mapema? Kwahiyo wewe ukishamtongoza mtu ile first date unataka na mbususu mkuu?
Ni mapema na mfahamiane, hela zake au misosi akikutoa out ulikua unalipia! Au ulikua unamchuna!?
 
Ni mapema na mfahamiane, hela zake au misosi akikutoa out ulikua unalipia! Au ulikua unamchuna!?
Kwahiyo mkuu exchange ya pesa au msosi ni kupewa mbususu? Mbona mnataka kufanya wadada wote tunajiuza nyie. Kwa sababu umelipia msosi at the first date ndiyo na mbususu upewe bila kujali factors zingine? Je magonjwa nk umenipima? Aargh hukukosewa kuitwa jambazi wewe
 
Back
Top Bottom