Mzenjibar
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 234
- 328
Nimeandaa moyoApo huna jambo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeandaa moyoApo huna jambo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu gani tena zaidi niliambiwa na bonge la kipara la uzee wakati kijana mdogo Kama chungu kipya,pia eti mi mweusi Kama pampu halafu na bonge la mavigimbi na mguu Kama koleo.Vyote hivyo nikijiangalia ni sawa ila aliongeza chumvi.
Mbona unanisema tena uku c ungenitafta inbox kuw nmekuumiza[emoji21][emoji21]Aliniacha sababu sikumpa mbususu nikidhani bado ni mapema hadi tufahamiane na kuzoeana zaidi, eeh kikafuata kibuti heavy nimebaki nalia lia tu maana i truly loved him[emoji19][emoji19]
Ila wewe ni mkorofi ujueSasa huu ndio ukonki master. Hapana pelekeshwa na mbususu moja wakati mbususu zimazagaa mtaani. Pesa yako tuu unavuta kitu special.
[emoji16]daaahMe nlikuwa kwake akanambia ukifika nyumbani niambie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa mbwembe na bashasha
"Baby nimeshafika home.""
Akanambia "sasa sikia.,;"
Nikamjibu "nambie."
Akanijibu ."kuanzia sasa me na wewe basi" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikamjibu "fresh"
Baada ya hapo niliumia ndani kwa ndani bila kumshirikisha Maumivu yangu.
Baada ya mda akarudi ananibembeleza na kunifatilia nimsamehe...
Nikamjibu tu
"It's over[emoji119][emoji119][emoji119]"
Ukorofi wangu ni nini tena? Mbona ninachosema ni facts kama ule uzi wetu🤣🤣🤣🤣🤣Ila wewe ni mkorofi ujue
Sawa turudi tu kwenye uzo wetu wa fact maana huku sikuelewi kabisaUkorofi wangu ni nini tena? Mbona ninachosema ni facts kama ule uzi wetu🤣🤣🤣🤣🤣
Yeah huku kwenye mbususu utachanganyikiwa bure mremboSawa turudi tu kwenye uzo wetu wa fact maana huku sikuelewi kabisa
Ahsante sanaPole sana [emoji23][emoji23]
Hvi ukitaka kutoa fact kuhusiana na huu uzi Unaweza ukausemeajeSawa turudi tu kwenye uzo wetu wa fact maana huku sikuelewi kabisa
Mkuu mbususu ndo papuchiYeah huku kwenye mbususu utachanganyikiwa bure mrembo
Haku kutafuta tena !?
Kwenye huu uzi facts ni hizo wanazosimulia wahusika, kila mtu anasimulia hali iliyomkuta wakati wa kuachwa and that is the fact😆Hvi ukitaka kutoa fact kuhusiana na huu uzi Unaweza ukausemeaje
Ndio kaka....mbususu ndio papuchiMkuu mbususu ndo papuchi
Jf Mitano mingine daah
Hamna fact ya general mkuuKwenye huu uzi facts ni hizo wanazosimulia wahusika, kila mtu anasimulia hali iliyomkuta wakati wa kuachwa and that is the fact[emoji38]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732]Baada ya kumaliza kozi jkt mujibu wa sheria siku tunarudishiwa simu tu nikajiunga mwenyewe nimtafute mpenzi ile namtumia sms "mambo bby" alichonijibu sasa nan baby wako akasema mm sio baby wako sikujui mm itakua umekosea namba hakyamungu pitshort niliiona nzito had leo hii anajifanya kujtumisha mesej m namzoom tu
[emoji16][emoji16][emoji16]Kama wewe sio bikra nampongeza Jamaa kwa uamuzi wa kiume kabisa aliofanya!,yaani nisumbuliwe na demu used aah wapi!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]kwani kuna ubaya gani simnapeana tuSawa, ahsante [emoji849], ila sasa hiyo bikra au used angejuaje wakati ndiyo kashaondoka mapema? Kwahiyo wewe ukishamtongoza mtu ile first date unataka na mbususu mkuu?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hawaogop ata kuruti