Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Huo muandiko mmh, bila shaka she's under 18yrs right?, hayo mambo ya kutaka kujua jua vitu wanafanyaga watoto wadogo wakiwa kwenye stage ya ukuaji[emoji848]

Ila mkuu hako kapicha hapo ni ka kwako? Nimejaribu kuzoom in hivi ila kama sielewii[emoji3][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787] si useme tu umeona nini[emoji16][emoji16]
 
Huu uzi umenigusa kiasi fulani maana imagine una date na demu ambaye home kwenu hawamtaki lakini muhuni bado nampigia debe na nilikuwa tayari kumuoa.

Yaani nimedeki sana mwili wake kariabia kila pahala pa mwili wake hakuna sehemu sijawahi fika na hakuna mahaba sijawahi mpa.

Sema kudate na hawa mademu wazuri shida ni zile zile mpunga. Uki upinguza tu kuutoa na yeye anaona mahaba huna. She even tried to lie that ana mimba mara hana mara atoe mara niende kwa wazazi wao basi tafrani.

Sasa siku moja kachukua simu yangu kakuta sms nachat na malaya mmoja najaribu kumdodosa masuala kadhaa ya huduma zake which hamna nilicho nataka zaidi ya kumhadaa tu.
Basi demu ndo kachukua hiyo kama hoja kuwa muhuni me mla mbolea ooh niache hiyo tabia na nimkome. Matusi kibao.

Baada ya kama wiki mbili hivi muhuni sina habari naye demu ana anza kuji tafuta na kusema alikuwa ana nipima. Me kumbe nisha shukuru Mungu kajikatia ticket mwenyewe.

Sema nini demu akikuacha muache aende ila akirudi kuwa naye makini huenda ni mtego au kama vipi temana naye kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Eti mbolea, ila we jamaa ni muhuni kweli
 
Back
Top Bottom