Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Kwahiyo mkuu exchange ya pesa au msosi ni kupewa mbususu? Mbona mnataka kufanya wadada wote tunajiuza nyie. Kwa sababu umelipia msosi at the first date ndiyo na mbususu upewe bila kujali factors zingine? Je magonjwa nk umenipima? Aargh hukukosewa kuitwa jambazi wewe
Kama ulikua humpi papuchi, na haukua tayari kuhudumiwa, hata akikutumia mpesa, wewe unairudisha, mpaka mfahamiane, basi wewe ni wife material.
 
Kama ulikua humpi papuchi, na haukua tayari kuhudumiwa, hata akikutumia mpesa, wewe unairudisha, mpaka mfahamiane, basi wewe ni wife material.
Hivi unajua maana ya mapema wewe, hizo stages zote unazosema wewe hatukufikia, eti kutumiwa pesa kuhudumiwa yaani hatukufika huko, tulikua kwenye early stages za kufahamiana ndiyo na mbususu ikaombwa.
 
Kwa hiyo @nuzlat kwako wewe ulikuwa unambishia a.k.a kumdindia?
Akileta wazo unalipinga
Hapana mkuu nilikuwa msikivu kwake ila mwenzangu alikuwa mkali kila utakacho mshauli hakifai atakacho zungumza yeye niitikie ndioo hata kama nina sababu ya kupinga yaani yeye kila mara kauli yake ilikuwa ni hii"Mimi ni Mwanaume unatakiwa uwe chini yangu"kwa kweli hata ingekuwa wewe ungefanyaje?
 
Hapana mkuu nilikuwa msikivu kwake ila mwenzangu alikuwa mkali kila utakacho mshauli hakifai atakacho zungumza yeye niitikie ndioo hata kama nina sababu ya kupinga yaani yeye kila mara kauli yame ilikuwa ni hii"Mimi ni Mwanaume unatakiwa uwe chini yangu"kwa kweli hata ingekuwa wewe ungefanyaje?
Pole. Sasa umepata anayekusikiliza/mnayeshauriana na kusikilizana?
 
Hivi unajua maana ya mapema wewe, hizo stages zote unazosema wewe hatukufikia, eti kutumiwa pesa kuhudumiwa yaani hatukufika huko, tulikua kwenye early stages za kufahamiana ndiyo na mbususu ikaombwa.
Mimi kuna baba mdogo angu kaoa mwanamke waliokutana nae kwenye bus, wakatongozana humo, siku iyo hiyo wakafanya matusi guest, na sasa ivi ni mke na mume watoto wa3.
Pia kuna mshikaji wangu nae kaoa baada ya kukutana siku ya kwanza na kufanya matusi.

Huwezi mfahamu mwanaume hata uishi nae miaka 20, na sisi wanaume hatuwezi mfahamu mwanamke, au wewe ulitegemea kumfahamu na ndio umpe baada ya miezi mingapi?

Kuna wanaume wana nyumba ndogo na wamezaa na mke halali au ukoo mzima haujui, ndio sembuse wewe miezi 6 ya kumchunguza?!
 
Huu uzi umenigusa kiasi fulani maana imagine una date na demu ambaye home kwenu hawamtaki lakini muhuni bado nampigia debe na nilikuwa tayari kumuoa.

Yaani nimedeki sana mwili wake kariabia kila pahala pa mwili wake hakuna sehemu sijawahi fika na hakuna mahaba sijawahi mpa.

Sema kudate na hawa mademu wazuri shida ni zile zile mpunga. Uki upinguza tu kuutoa na yeye anaona mahaba huna. She even tried to lie that ana mimba mara hana mara atoe mara niende kwa wazazi wao basi tafrani.

Sasa siku moja kachukua simu yangu kakuta sms nachat na malaya mmoja najaribu kumdodosa masuala kadhaa ya huduma zake which hamna nilicho nataka zaidi ya kumhadaa tu.
Basi demu ndo kachukua hiyo kama hoja kuwa muhuni me mla mbolea ooh niache hiyo tabia na nimkome. Matusi kibao.

Baada ya kama wiki mbili hivi muhuni sina habari naye demu ana anza kuji tafuta na kusema alikuwa ana nipima. Me kumbe nisha shukuru Mungu kajikatia ticket mwenyewe.

Sema nini demu akikuacha muache aende ila akirudi kuwa naye makini huenda ni mtego au kama vipi temana naye kabisa
 
Kwahiyo mkuu exchange ya pesa au msosi ni kupewa mbususu? Mbona mnataka kufanya wadada wote tunajiuza nyie. Kwa sababu umelipia msosi at the first date ndiyo na mbususu upewe bila kujali factors zingine? Je magonjwa nk umenipima? Aargh hukukosewa kuitwa jambazi wewe
Achia mzigo watu wajilie
 
Back
Top Bottom