Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Sawa ila hayo magonjwa tunakua tumepima saa ngapi sasa mkuu?
Magonjwa gani tena??

Si tumekubaliana kinga zitumike??
JamiiForums1243499869.jpg
 
Hivi unajua maana ya mapema wewe, hizo stages zote unazosema wewe hatukufikia, eti kutumiwa pesa kuhudumiwa yaani hatukufika huko, tulikua kwenye early stages za kufahamiana ndiyo na mbususu ikaombwa.
Alikuwa sahii kabisa!!

Kwani wewe unazungumzia kufahamiana kupi?
Kupelekana kwa wazazi au??

Kufahamiana ni pamoja na kuifahamu mbususu ya unayeanza kufahamiana naye[emoji38]

Nawaza tu.
 
Siki naacha nililetewa kadi ya harusi yake, yaani me nikijuwa kuwa nipo naye kwenye mahusiano kumbe yeye alisha tolewa mahari na mda wote huo sikuwahi kufahamu maana simu card alikuwa nazo tofauti, Akiwa na mimi anaweka hii, akiwa na huyo alomuoa anabadiri, wanawake wanajuwa kuigiza
 
Alikuwa sahii kabisa!!

Kwani wewe unazungumzia kufahamiana kupi?
Kupelekana kwa wazazi au??

Kufahamiana ni pamoja na kuifahamu mbususu ya unayeanza kufahamiana naye[emoji38]

Nawaza tu.
Yaani wewe ndiye wale wale tu afu tofautisha kufahamu mbususu na kuitumia, yeye alikua anataka kuitumia fyuu😏😏
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kama mimi kucheki picha nikaanza kurelate ndiyo maana bidada kamwambia hampendi labda[emoji3][emoji119]
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Humu jf wanaume nyuma ya keyboard ni kwikwi[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah[emoji134][emoji134]
 
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Humu jf wanaume nyuma ya keyboard ni kwikwi[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah[emoji134][emoji134]
Yaani wanavotusemega wadada wa humu siyo warembo na wengine wanaishia kutukimbia mitaani tukionana eti kisa tuko ugly, sasa kumbe na wao hatutofautiani sana yani ni wale wale tu😀😀😀
 
Siki naacha nililetewa kadi ya harusi yake, yaani me nikijuwa kuwa nipo naye kwenye mahusiano kumbe yeye alisha tolewa mahari na mda wote huo sikuwahi kufahamu maana simu card alikuwa nazo tofauti, Akiwa na mimi anaweka hii, akiwa na huyo alomuoa anabadiri, wanawake wanajuwa kuigiza
Yaani alikua na guts za kukuletea kadi ya harusi yake mwenyewe? Duh huu ni ukauzu sana si ungempa makonzi mkuu dharau hii🤔
 
Yaani alikua na guts za kukuletea kadi ya harusi yake mwenyewe? Duh huu ni ukauzu sana si ungempa makonzi mkuu dharau hii🤔
𝐃𝐚𝐚𝐚𝐚𝐡, 𝐬𝐨𝐦𝐞𝐭𝐢𝐦𝐞 𝐢𝐧𝐚𝐮𝐦𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐧𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐯𝐮𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐲𝐚𝐩𝐢𝐭𝐞
 
Back
Top Bottom