Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Daah Wanangu mnaachwa kikatili sna aseeh.... Karibuni kwenye ulimwengu wa Eat en run[emoji16][emoji16][emoji419]

Tuwe na stress za hela, hata za hawa wachumba?! tuwe serious kidgo
 
Siwezagi kumwambia mtu yani...!! Na kimi kama mtu kanichoka hana haja ya kuniambia huwaga najua alafu namuelewa na tunamalizana kimya kimya...
 
Nikae nakunyenyekea kwani wewe ninani? Malaya mmoja wewe,

Nimecopy sms yake
Jamaa alikuwa fala huyu.eti akaja anataka turudiane.eti alikuwa amelewa nilimuudhi Sana.

[emoji23][emoji38][emoji38] aisee, hivi aibu huwa wanaziwekaga wapi watu hawa? Yani na tusi lote hilo zito bado akataka kurudi [emoji848][emoji848]
 
Me nlikuwa kwake akanambia ukifika nyumbani niambie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa mbwembe na bashasha
"Baby nimeshafika home.""
Akanambia "sasa sikia.,;"
Nikamjibu "nambie."
Akanijibu ."kuanzia sasa me na wewe basi" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikamjibu "fresh"
Baada ya hapo niliumia ndani kwa ndani bila kumshirikisha Maumivu yangu.
Baada ya mda akarudi ananibembeleza na kunifatilia nimsamehe...
Nikamjibu tu
"It's over[emoji119][emoji119][emoji119]"

Mara zote wa kwanza kusitisha mahusiano lazima arudi tu, hata sijui ni kwa nini [emoji2368]
 
Sawa, ahsante [emoji849], ila sasa hiyo bikra au used angejuaje wakati ndiyo kashaondoka mapema? Kwahiyo wewe ukishamtongoza mtu ile first date unataka na mbususu mkuu?
Binafsi hata nipime OIL tu ili nijue hapa kitu TIGHT au mzigo feki.
 
Hilo la kuambiwa mie na wew hatujaoana kwaio inabidi tusitishe mawasiliano mpaka mwezi uishe sijui limekaaje,naomba kujuzwa na wajuvi wa mambo hayo?[emoji847]
Yuko sahihi tu. Ukiwa kwenye mfungo unashauriwa kuepukana na kila ambalo litapunguza funga yako. Mvumilie ni mwezi mmoja tu.
 
FB_IMG_1619040156197.jpg
usimuwekee nguo chafu kwenye kikapu

Muwekee pesa!!

Hizo ndio nguvu za mapenzi na hutokaa uachike
 
Me ndo natafuta sababu ya kuacha mtu hapa kwenye thread zenu sjui nsingizie nin?🤨
 
Back
Top Bottom