Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

@Muuza simu used na mimi pia naungana na huyo mwamba,awa dadazetu wanaona mbususu yao ni kama tanzanite wakat nyote mnapata raha na akiondoka anaiacha.

Wajinga sana wanataka raha na pesa wapewe kisha walete tena usumbufu safari hii awamu ya sita ukizingua nakuzingua [emoji28]
 
Yenyewe nilikuwa nafanyaga ila nikaona ni ubatili mtupu ,stress ku feel guilty n.k nikaona huo ujinga kwa hiyo naishi tu ilimradi liende , sina demu,sipigi puri , sitongozi wala nini .nipo nipo tu kama kondoo[emoji36]

MÊmENtO HoMO

Chunga sana marinda yako mkuu pia usikubali kulala na mwanaume mwenzio kitanda kimoja unaweza kuta ukatamani kutolewa hamu
 
Hilo la kuambiwa mie na wew hatujaoana kwaio inabidi tusitishe mawasiliano mpaka mwezi uishe sijui limekaaje,naomba kujuzwa na wajuvi wa mambo hayo?[emoji847]
 
Sijawahi achwa..wala huwa siachi. Aolewe, ahame mji, asafari nje ya nchi. Ye atajua mwenyewe. Tutapotezana tu kwa muda, Tukikutana tena ni kutinduana tu. Labda ustaarabu na kujituma wakati wa kupiga show kunanisaidia nisiachike
 
Sawa, ahsante 🙄, ila sasa hiyo bikra au used angejuaje wakati ndiyo kashaondoka mapema? Kwahiyo wewe ukishamtongoza mtu ile first date unataka na mbususu mkuu?
Mimi bana napendaga hata siku ya kwanza tu kama kila mtu kamkubali mwenzake tunapiga show.. kwasababu mi huwa simjaji mtu kwasababu ya kunipa pussy siku ya kwanza. Heshima yangu kwa wanawake ipo palepale. Sasa unaninyima miezi ili iweje. Halaf mnakuja kuanza inanoga hadi mnaanza kujilaumu kwanini mlipoteza muda
 
Mimi bana napendaga hata siku ya kwanza tu kama kila mtu kamkubali mwenzake tunapiga show.. kwasababu mi huwa simjaji mtu kwasababu ya kunipa pussy siku ya kwanza. Heshima yangu kwa wanawake ipo palepale. Sasa unaninyima miezi ili iweje. Halaf mnakuja kuanza inanoga hadi mnaanza kujilaumu kwanini mlipoteza muda
Aisee mkuu kwa Sisi wadada kidogo inakua si kama haijakaa sawa nahisi kama ni unakua cheap hivi , afu nyie wanaume mlivo sasa utaanza kusema kama first date tu alikubali kuhave sex na mimi je anafanya hivo kwa wangapi wanaomtongoza? Na je hayo magonjwa tumepima muda gani, au tunapima hapo hapo then imooo?.
 
Back
Top Bottom