I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 388
- 579
Daily news au!Niliandikiwa gazeti.
Daily news au!Niliandikiwa gazeti.
Hahaa, umetisha mkuuMi mmoja nimezaa naye mtoto mmoja.Alinitumia msg mi mwezi ujao naolewa nikamtumia emoj za kucheka.
Mkuu mwanamke ukiishi nae kwa akili hakusumbui,hata akikuudh usichukie ila mwonyeshee kuwa hata mkiachana siku hyo unavuta mwingneSasa huu ndio ukonki master. Hapana pelekeshwa na mbususu moja wakati mbususu zimazagaa mtaani. Pesa yako tuu unavuta kitu special.
Halafu unakuta kuna jamaa anambandua kila sikuEti mpk unioe ndo ntafanya mapenz na ww.
😁😁😁asee,
Kama yaleeee yakwangu
Pipikijiti dudu au pipikijiti pipikijitialafu unakuta kuna jamaa anambandua kila siku na anamuekea pipikijiti matakoni
Mimba inaweza kupimwa DNA?Kuanzia sasa naomba tuachane uwezi kulea mimba au nikipata tatizo lolote
Siku mjibu nikawa kimya...
Ikapita Week 2 akanichek ninamimba nikamjibu sawa.ongera jambo la kheri.
Ila ni ya X wangu anakipato kizur cha kulea mimba na mtoto.nikamjibu sawa ila naomba usinitafute tena mahana msichana nilie nae sasa ni mkali mno..
Baada ya mudah rafiki yake ananiambia ile mimba ilipimwa DNA na kuonekana sio yake jamaa amesitisha uduma..
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Watu ni waongo boraMimba inaweza kupimwa DNA?
"Kwa nini wewe kila siku?? Baki na Pombe zako" na hapo ni vibia viwili tu nmechamba navyo koo wakati wa jioni ili nkapate kausingizi.








