Nikimrahisishia si ataniona easy going auHiyo hali huwa inatutikea wanaume tukipenda ukweli..... Yaani tuki over love huwa inakua hivo so cha kufanya tengeneza mazingira ya kumrahisishia
Nimeanza kuwa na hisia kwa mbaliSwali je na wewe unampenda?..
Wacha tumsaidie mistari ili akupe roho yako itulie, naona ndiounacho hitaji kwa huyo kaka.
Sawa kaz ya moyo kusukuma damu kupenda ni sehemu ya akili ya mbeleUnachosema ni sahihi kabisa ingawa moyo buana una mambo yake ya hatar hatar
Akili ya mbele? Hahaha sawaSawa kaz ya moyo kusukuma damu kupenda ni sehemu ya akili ya mbele
Ndio mkuu hili halina uhusiano na sayansi ya darasaniAkili ya mbele? Hahaha sawa
Maelezo zaid plzNdio mkuu hili halina uhusiano na sayansi ya darasani
Ila skuwai kumpa attention ndo kwanza nkitoka kwa jamaa tunaeka mezan 4cousins na mishkaki kumbe ye moyoni machozi yanatiririka hahahai feel you....
Kuwa na mpenz ofisi moja ni hatari Sana kwa afya yako hasa pale kunapo kuwa na breakup utaumia SanaHabari zenu wana jamvi.
Mm ni muajiriwa mpya katika shirika flani nina kama miez sita tu hivi pale, katika shirika kuna kijana toka siku ya kwanza ya interview alinipokea vizur sana na alioneaha kua na interest na mm. Mwanzoni nilihisi ni mtu mchangamfu tu wala hana nia zozote za kimahusiano na mimi ila as time went on nikawa sielewi elewi kuna this day he gave me a cerntain close glance ambayo kwa msichana yoyote unaeza hisi huyu mtu anahisia na wewe. Hajawahi kunitamkia chochote ila watu wengine ofisini wananiambia ananipenda.
Swali langu ni hivi huyu mtu tukiwa wawili tu haoneshi chochote cha ziada kuonesha kama ananipenda au la ingawa anapenda kuwa around me sana anakua kawaida tu ila akiwa around watu wengine anaonesha hisia zake wazi na wivu endapo akiniona nainteract nao kwa ukaribu.
Kwa mitazamo yenu maoni gani mnaeza kunipa
Asante kwa mawazo yako..notedKuwa na mpenz ofisi moja ni hatari Sana kwa afya yako hasa pale kunapo kuwa na breakup utaumia Sana
.. Kupanga ni kuchagua
Do the best wenda kakupenda
Au kakutamani
haya mambo hayaIla skuwai kumpa attention ndo kwanza nkitoka kwa jamaa tunaeka mezan 4cousins na mishkaki kumbe ye moyoni machozi yanatiririka hahaha
Hapana sitaweza kuelezea zaidi ila tu uelewe hivyo mkuuMaelezo zaid plz
Mtengenezee mazingira sasa unachosubiri nini. Kuna watu ujasiri wa kutongoza hawana.Nimeanza kuwa na hisia kwa mbali
jicho la mwakyembe hahahahhahAwamu Hii Ya Tano Hayana Nafasi Awamu Haya
Yaani Wewe Mwenyewe Umeshaona Jamaa Anakutazama Kwa Jicho La Mwakyembe
Mwambie Mmalize Tatizo
Nahisi na mm kama nmeanza kumpenda penda vileWewe huna hisia nae....?
Siku Nyingine Jiongeze Utapoteza Bahati Tena Utajilaumujicho la mwakyembe hahahahhah