Wajuzi wa mambo naomba msaada kwa hili

Wajuzi wa mambo naomba msaada kwa hili

Kutongozana kunaweza kuwa kwa kuambiana directly kuwa nakupenda ama kwa ishara na hisia. Na ishara na hisia sometimes hutawala sana pale mmoja anapochelea kuwa nikimtamkia waziwazi kuwa huyu nampenda anaweza nikatalia so huyo mtu huopt kutengeneza intimacy.....yaani kwa case ya huyo jamaa anajaribu kukuweke karibu ili ije tokea tu na wewe unamfeel then hapo vitu vingine sasa vita take off automatically. Ni njia nzuri sana hii sababu kwanza inawatengenezea feelings za hali ya juu sana ninyi wote lakini inatengeneza very strong bond ya mapenzi.
Kikubwa tu ninachokusauri kama wewe unaona ni mtu sahihi kwako japo kimuonekano tu achilia mbali tabia unaweza mpokea kwa style hiyo hiyo anayokuja nayo maana ni moja ya mtongoza wa haja tu kama nilivyosema. lkn pia itakusaidia kumsoma vzr hata baadhi ya tabia zake kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano nao.
Asante nimekuelewa atleast
 
Asante nimekuelewa atleast
Asante nimekuelewa atleast
..
Exactly sababu mwisho wa siku ishara tu zinaweza fanya kazi ya kutosha kabisa kufanya the targeted aelewe kuwa mwenzake na namfeel. Njia hii ni very common kwenu ninyi kina dada mnapokuwa mmempenda mwanaume hasa ukizingatia huwa si rahisi kwenu kumwambia mwanaume openly kuwa unampenda.
 
Exactly sababu mwisho wa siku ishara tu zinaweza fanya kazi ya kutosha kabisa kufanya the targeted aelewe kuwa mwenzake na namfeel. Njia hii ni very common kwenu ninyi kina dada mnapokuwa mmempenda mwanaume hasa ukizingatia huwa si rahisi kwenu kumwambia mwanaume openly kuwa unampenda.
Kama ndio ivyo kaniweza bas...maana kashaingia moyoni mudaaa ila mixed signals zake ndio alikua ananchanganya
 
Ayayayayaaaaa iliwai nikuta jamaa alinielewa sana ila alikuwa hana confidence, akati huo nadate nalijamaa flan mume wa mtu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 anaumia alikuja niambia baada ya miaka3 ivi
Kaushuhuda kako katamu! Ehee ndo ikawaje?
 
Amini usiamini umejipatia livulana bikira kabisaa! Lenye halijawahi kungonoka. Hii hutokea kwa wanaume wengi ambao hawajawahi kuwa na mahusiano na wanawake. Mabingwa wa kutongoza siku zote huwa ni waume za watu.
 
Mimi sina mengi ya kusema ila mpatie kitumbua iko na njia ziko hapa.
Ulishawahi kula tunda kimasihara?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 NIMECHEKA SANA, asiende kwene huo uzi atachanganyikiwa na mambo vijana wanavyoyapeleka kibaharia daaah
 
Wanaume usikurupuke nao subiri kama anakupenda atakuja, kurupuka utongoze akukule uku ana mtu wake mara ndan ya mwezi anakuacha afu mko ofisi moja

Kwanini wanawake huwa wanaona kufanya mapenz ni wao ndio wanakua na chakupoteza na sio mwanaume. Why is it to you guys that pussay is more valuable tha dik ? kwani ukiliwa ukaachika inakuwaga ni loss kubwa kwako tu ? You had your privates I had mine, Tulishirikiana ikitokea tumeachana basi wote tuna losi, sio kwamba kuna mtu anakuwa kashinda lottery mwingine kapoteza...You guys should stop that victim act towards the notion of doing sex, it is the same reason wanawake wengine wanauza hiyo kitu sababu anaona hawez kukupa bure you have to pay for it..

NB: Alafu sikuiz kutongozwa na mtu single ni ishue aisee, hiz relationship ni kuporana tu patakapo kunogea ndio unahamia na ukifanikiwa unaoa au kuolewa kabisa. Ukiona mtu anaact single ujue kagombana na bwana ake au kapigwa chin siku si nyingi...Usiogope mtu akiwa na relationship jaribu bahati yako, yeye ndio akwambie haifai nina mume au mke au vitu kama izo, hapo ndio ukaushe...OVA
 
Dawa ya moto ni moto,yeye si anaonesha hisia,ww pia onesha hisia kwake but usimwambie live ,mtajikuta mpo kitandan one day na mahusiano yenu yatadumu,
 
Kwanini wanawake huwa wanaona kufanya mapenz ni wao ndio wanakua na chakupoteza na sio mwanaume. Why is it to you guys that pussay is more valuable tha dik ? kwani ukiliwa ukaachika inakuwaga ni loss kubwa kwako tu ? You had your privates I had mine, Tulishirikiana ikitokea tumeachana basi wote tuna losi, sio kwamba kuna mtu anakuwa kashinda lottery mwingine kapoteza...You guys should stop that victim act towards the notion of doing sex, it is the same reason wanawake wengine wanauza hiyo kitu sababu anaona hawez kukupa bure you have to pay for it..

NB: Alafu sikuiz kutongozwa na mtu single ni ishue aisee, hiz relationship ni kuporana tu patakapo kunogea ndio unahamia na ukifanikiwa unaoa au kuolewa kabisa. Ukiona mtu anaact single ujue kagombana na bwana ake au kapigwa chin siku si nyingi...Usiogope mtu akiwa na relationship jaribu bahati yako, yeye ndio akwambie haifai nina mume au mke au vitu kama izo, hapo ndio ukaushe...OVA
Sjasoma yooote yanachosha bana, ila ktk jamii hakuna mwanaume malaya ata ukiwala ulimwengu mzima, mwanamke ukishadate na wawili sehem moja utaitwa malaya tu
 
Hana Ujasiri wa Kukwambia Ila inaonekana Unampenda Pia .
 
Sjasoma yooote yanachosha bana, ila ktk jamii hakuna mwanaume malaya ata ukiwala ulimwengu mzima, mwanamke ukishadate na wawili sehem moja utaitwa malaya tu

then settle down, have one nigger put a ring on it....hakuna namna, your pussay is not for everybody...ahahaha
 
Asante.
Ila ananchanganya kwa nn akiwa na mm haoneshi hisia zake wazi....ila kukiwa na watu ndio anakua intense?
Kuna sabababu nyingi,
Nikimrahisishia si ataniona easy going au
Usijirahisishe kihivyo kwa kuonyesha nawe wamtaka ila weka mazingira ambayo atakuwa comfortable kuzungumza, mfano... akizungumza jambo lolote nawe, liwe dogo ama kubwa mpe undivided attention.

Show him what he can get but make him imagine what he can have.

Ijapo ni kweli kinadharia ya mapenzi, mwanaume ni muwindaji na kama ilivyo desturi ya uwindaji, kadri anayewindwa analeta ugumu ndivyo utamu, thamani ama ladha ya nyama inaongezeka pindi huyo mnyama akikamatwa na kuchinjwa.

Strike a balance, just don't play too hard on him nor too easy....
 
Back
Top Bottom