Waitara: Watakachofanywa wanaomuita Rais mshamba

Waitara: Watakachofanywa wanaomuita Rais mshamba

WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Wacha ifike mwaka 2020 ndiyo atawajua ccm
 
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Hayo maneno si ya kusemwa na mtu mwenye dhamana ya uwaziri, asiingie yeye kwenye anga za watu huenda akafanywa mshamba na akamalizwa. Kwani hao wanaosema raisi mshamba pia walikuwa wana cheo na nguvu serikalini.
 
Huyu jamaa ana ulafi wa madaraka hashindwi kuwa mmalizaji wa watu huyu, Siku jiwe akipendwa zaidi na Mungu kuna wana ccm wataomboleza kuliko familia ya Jiwe,
 
Huyu jamaa ana ulafi wa madaraka hashindwi kuwa mmalizaji wa watu huyu, Siku jiwe akipendwa zaidi na Mungu kuna wana ccm wataomboleza kuliko familia ya Jiwe,

Wasiojulikana, wahamiaji haramu, waliokotwa majalalani,ma praise team,wenye vyeti
 
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
List ya ICC inaongezeka!
 
Back
Top Bottom