Waitara: Watakachofanywa wanaomuita Rais mshamba

Waitara: Watakachofanywa wanaomuita Rais mshamba

WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete

Huyu anaendelea kuthibitishia uma wa watanzania na dunia nzima kuwa wanaotwekwa nakupotezwa serikali inahusika mia kwamia
 
chadema ni kama kapu la takataka linajaziwa takataka likijaa zinenda kumwagwa siyo kuwa hazitaki ila anazitaka takazake ila zimejaa tuu
Bila shaka na wewe ni jambazi!
 
Y
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Yeye ni mshamba na mbumbumbu namba moja, na kamwe sitakutana naye po pote. Na tutakapokutana naye kwa namna yo yote sitasubiri ni kweli tutamalizana.
 
Angesema mnamalizana sio unammaliza,wanaweza wakamalizwa wao case study Tarime waliomba po
 
WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA

"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Hiyo sauti ni yangu 100 kwa 100 utanifanya nini, alisikika akisema.
 
Atajikomba sana lakini 2020 hana lake
Aliokotwa jalalani akapewa teuzi km fadhila ya kuwatusi wapinzani sio Kwa sababu ni smart kichwani MTU wa kuropokaropoka hovyo siri za chama pombeni,aongexe bidii ili utumbuzi usimpite asirudie kazi yake ya awali ya kutembeza mayai
 
Hawa Jamaa ni washamba sana hata kauli zao ni za kishamba sana.MTU mshamba atazami kesho yake uropoka ropoka tu
 
Back
Top Bottom