Waislamu kuweni wavumilivu

Waislamu kuweni wavumilivu

Labda ukiristo Uislamu umeingia Mwambao wa Africa mashariki kabla ya kuja mreno . Vasco Da Gama alipofika Kilwa aliluta watu ni waislamu tena wenye maendeleo makubwa ktk Biashara.
Uislamu ni dini ya juzi tu, hapa Africa imekuja juzi tu
 
Na Jihad ilikuwa nini?.
Hapo Nigeria kila mwaka Boko Haram wanafanya fujo zao.
ISIS je?

Tusiende nchi za mbali.
Kibiti je?
Kund la Masheikh wa Uamsho hapo Znz.

Kwann wanatumia nguvu namna hii kueneza Uislam wao na kuua na kuwatesa wakristo?.
Hao mauaji yao hayahusiani na Uislamu japokuwa wao wanahusianisha
 
Hajasema hakuna Makanisa.
Amesema kwanini makanisa hayajengwi kwa uhuru na kuna sheria kali za kuuza Biblia na wakristo hawaabudu kwa uhuru.

Ndio hoja yake.
Kujenga kwa uhuru ndiyo kukoje!?..Kuna makanisa,kanisa linahitaji biblia, of course zipo,nimeweka picha waumini wakifanya ibada kanisani, waumini hawawezi kosa biblia,yaani nchi iruhusu ujenzi wa makanisa izuwie biblia,muwe mnatumia akili kidogo
 
Hao mauaji yao hayahusiani na Uislamu japokuwa wao wanahusianisha

Umesema?.

Masheikh wa Uamsho kwamba sio kwaajili ya kuunda Islamic state?.

Na Wale wa Kibiti pia?.

Unakumbuka vizur lengo lao?.
Wale waliikataa CCM na CUF. W
Masheik wale walitaka Znz itawaliwe na Sharia.

Utasemaje havihusian na Uislam
 
Kujenga kwa uhuru ndiyo kukoje!?..Kuna makanisa,kanisa linahitaji biblia, of course zipo,nimeweka picha waumini wakifanya ibada kanisani, waumini hawawezi kosa biblia,yaani nchi iruhusu ujenzi wa makanisa izuwie biblia,muwe mnatumia akili kidogo

Mfano Yemen.
Kuna makanisa manne tu.
Na yamejengwa zaman.

Wakristo wachache. (Weng foreigners) wanaogopa hata kuingia kanisan. Inabidi wakusanyike nyumban kwa msharika mmoja na kusali.

Pia wanafuatiliwa kwa ukaribu . Na kudaiwa ni washirika na watu wa magharibi.

Kwahiyo Hakuna kanisa jipya. Hakuna uhuru wa kuabudu. Na ofcoz Biblia inabididi uende nayo. Duka gan utanunua?
 
Umesema?.

Masheikh wa Uamsho kwamba sio kwaajili ya kuunda Islamic state?.

Na Wale wa Kibiti pia?.

Unakumbuka vizur lengo lao?.
Wale waliikataa CCM na CUF. W
Masheik wale walitaka Znz itawaliwe na Sharia.

Utasemaje havihusian na Uislam
Vipi harakati za Pastor Tony ni katika mafundisho ya ukristo au?
 
Mfano Yemen.
Kuna makanisa manne tu.
Na yamejengwa zaman.

Wakristo wachache. (Weng foreigners) wanaogopa hata kuingia kanisan. Inabidi wakusanyike nyumban kwa msharika mmoja na kusali.

Pia wanafuatiliwa kwa ukaribu . Na kudaiwa ni washirika na watu wa magharibi.

Kwahiyo Hakuna kanisa jipya. Hakuna uhuru wa kuabudu. Na ofcoz Biblia inabididi uende nayo. Duka gan utanunua?
Sasa nchi ya mamilioni ya watu pawe na waumini 40k na wengi wageni,unategemea pawe na makanisa kila siku!?..fikiri
 
kanisa unaligeuzaje kuwa msikiti?.
Kwa kununua na kubadilisha matumizi baada ya kukosa waumini ili jengo liendelee kutumika. Hasa UK , Germany na Ufaransa , Uholanzi na baadhi ya states US kama Michigan na Minnesota. Kuongezeka kwa population za Waislam na kupungua kwa wakristo aidha kwa uhamiaji na sababu nyenginezo. Makanisa maarufu kama Haggia Sophia, Al Aqsa na Cordoba ni ya kihistoria zaidi
 
Sasa nchi ya mamilioni ya watu pawe na waumini 40k na wengi wageni,unategemea pawe na makanisa kila siku!?..fikiri

Hapana Sio kila siku.
Ila kama hapo awal wangeruhusu wakristo kuabudu kwa aman. Bas wangekuwa waumini weng na makanisa yangeongezeka.

Fikiri pia.
 
Ndio maana nikasema hao hawahusiani na Uislamu ingawa wanajinasibisha
Wale wa uamsho ni waislam bro.
Kuna Imam kabisa alikuwepo kwenye list ya waliokamatwa.

Na lengo ni kuunda Taifa la Kiislam.
Hivyo vinahusiana na Uislam
 
Naomba nikujibu, ila usinipopoe tu😅
Yesu hakuwa na dini kama tunavyozijua leo (Kikristo, Kiislamu, nk). Yesu alizaliwa na kulelewa kama Myahudi na alifuata imani na desturi za Kiyahudi. Alisali kwenye masinagogi, alishika Sabato, na kuheshimu Sheria ya Musa (Torati).

Kwa hivyo, mafundisho yake yalileta mwelekeo mpya wa kiroho ulioweka msingi wa Ukristo baada ya kufufuka kwake.

Kwa kifupi tu Yesu alikuwa Myahudi kwa dini, lakini mafundisho yake yalizaa Ukristo.

Na biblia inasema lifunguliwalo duniani na mbinguni limefunguliwa!😁

Haya twende.NIAMBIE YESU ALIKUWA DINI GANI?
 
Kumbe unakubali Uislamu umekuja umekuta Kuna dini za watu
Uislam haujapinga wale waliopokea kitabu kabla yake, wametajwa kama Ahlul Kitab ambavyo ni Torati na Zaburi kwa Wayahudi na Injili kwa Manasara (An nasarry au wafuasi wa Nazareth) . Quran imekuja mwishoni wa vyote hivyo. Context inatofautiana, na wewe una fahamu hilo
 
Back
Top Bottom