Waislamu kuweni wavumilivu

Waislamu kuweni wavumilivu

Hakuna inapotofautiana labda useme ,imetofautiana nini na maana ni tofauti ?tuanzie hapo
Mwenyezi-Mungu asema, “Mimi ni Mwenyezi-Mungu, Mungu wako; mimi ndimi niliyekutoa nchini Misri! Mimi nitakukalisha tena katika mahema, kama ufanyavyo sasa kwa siku chache tu, wakati wa sikukuu ya vibanda.


BHN: Biblia Habari Njema
Na wewe weka ya kwako
 
Nimekwambia weka Hosea 12:9.ukaweka na Mimi ni kaweka ya kwangu.imekuwaje Kila biblia imeandika kivyake kama sio ni maneno ya watu?

Yametofautiana kwenye kuweka Kwenye Lugha ya kiswahili.
Tungesoma biblia ya Kiebrania yangekuwa na maana hiyo hiyo.

Quran imeandikwa kwa Kiarabu.
Kuna maneno ukiyaleta kwa Kiswahili huwez pata tafsiri ya moja kwa moja.
Ingawa utapata mantiki na ujumbe.

Sasa kwakuwa imetafsiriwa kuja kiswahili haitoi uhalali wake.

Quran na Biblia zote zimeandikwa na watu.

Au unataka kusema Mungu anaongea Kiarabu tu?. 😂😂😂
 
Yametofautiana kwenye kuweka Kwenye Lugha ya kiswahili.
Tungesoma biblia ya Kiebrania yangekuwa na maana hiyo hiyo.

Quran imeandikwa kwa Kiarabu.
Kuna maneno ukiyaleta kwa Kiswahili huwez pata tafsiri ya moja kwa moja.
Ingawa utapata mantiki na ujumbe.

Sasa kwakuwa imetafsiriwa kuja kiswahili haitoi uhalali wake.

Quran na Biblia zote zimeandikwa na watu.

Au unataka kusema Mungu anaongea Kiarabu?. 😂😂😂
Kwenye biblia ya kiebrania Kuna neno IDD?
 
Mwenyezi-Mungu asema, “Mimi ni Mwenyezi-Mungu, Mungu wako; mimi ndimi niliyekutoa nchini Misri! Mimi nitakukalisha tena katika mahema, kama ufanyavyo sasa kwa siku chache tu, wakati wa sikukuu ya vibanda.


BHN: Biblia Habari Njema
Na wewe weka ya kwako
Hosea 12:9 CPDV
[9] And I, the Lord your God from the land of Egypt, nevertheless will cause you to dwell in tabernacles, just as during the days of the feast.
 
Mtu anakuambia uislam ni dini ya juzi, hapo imepishana na ukristo miaka 500. Kuna dini za Budhha, Hindu, Zoroastrian na wengineo wakiabudu jua na mwezi wala hawasimangi watu na wala hawana vitabu na wanaishi simple mpaka leo huko wanagundua mapya sie tuna chokono chokonoa maandishi ya kizamani, hayana msaada wowote!
Hayana MSAADA kwako
 
Hosea 12:9 CPDV
[9] And I, the Lord your God from the land of Egypt, nevertheless will cause you to dwell in tabernacles, just as during the days of the feast.
Sasa niambie waandishi wa biblia wametoa wapi neno IDI NA SIKUKUU YA VIBANDA?
NA HAPO NDIPO HOJA YANGU KUWA BBLIA NI MANENO YA WATU WALIOAMUA KUICHEZEA UTAPINGA?
 
Mtu anakuambia uislam ni dini ya juzi, hapo imepishana na ukristo miaka 500. Kuna dini za Budhha, Hindu, Zoroastrian na wengineo wakiabudu jua na mwezi wala hawasimangi watu na wala hawana vitabu na wanaishi simple mpaka leo huko wanagundua mapya sie tuna chokono chokonoa maandishi ya kizamani, hayana msaada wowote!
Wakristo hawana time na uislamu maana umekuja wanauona

Halafu unadanganywaje uislamu upo kabla ya Muhammad na unaamini ti?

Ulishajiuliza why hakuna hata kipande cha karatasi,jiwe ,n.k hata jengo la msikiti kuwa paliwahi kuwepo kikundi cha dini ya Uislamu
 
Sasa niambie waandishi wa biblia wametoa wapi neno IDI NA SIKUKUU YA VIBANDA?
NA HAPO NDIPO HOJA YANGU KUWA BBLIA NI MANENO YA WATU WALIOAMUA KUICHEZEA UTAPINGA?

Quran ina inaiamini Biblia.
Ww unaamini Quran.

Ila Ww huamini Biblia.
 
Sasa niambie waandishi wa biblia wametoa wapi neno IDI NA SIKUKUU YA VIBANDA?
NA HAPO NDIPO HOJA YANGU KUWA BBLIA NI MANENO YA WATU WALIOAMUA KUICHEZEA UTAPINGA?
Mbona nimekwambia hapo juu ,neno iddi ni sikukuu Tena utalipata kwenye Biblia kiswahili cha kimvita

Kwahiyo kwa akili yako ulidhani ni hii iddi ya Kikureshi?😂😂
 
Ndo maana nasema BBLIA ni MANENO ya watu hapa ndipo HOJA YANGU ya msingi ipo.utakataa?
Wewe jamaa akili yako bhana ,kwahiyo unataka tafsiri za biblia zisemaje labda?


Je maana hapo imepotoshwa?
 
Wakristo hawana time na uislamu maana umekuja wanauona

Halafu unadanganywaje uislamu upo kabla ya Muhammad na unaamini ti?

Ulishajiuliza why hakuna hata kipande cha karatasi,jiwe ,n.k hata jengo la msikiti kuwa paliwahi kuwepo kikundi cha dini ya Uislamu
hauna time mbona kila wakati unaandika habari ya uislam, kwanini usiandikie dini yako kama unayo
 
Haya turudi kwenye hyo aya mwisho DAYS OF THE FEAST maana yake nini Kwa kiswahili?
“Days of the solemn feast” = Siku za Sikukuu Kuu, hasa zikihusiana na Sikukuu ya Vibanda/Hehema (Feast of Tabernacles / Sukkot), ambapo Waisraeli waliishi kwenye vibanda/hema kwa muda fulani wakikumbuka safari yao jangwani baada ya kutoka Misri.

Kwa hiyo, “Days of the Feast” hapa maana yake ni:

Siku maalum za ibada na furaha za Israeli, ambazo zilihusiana na kukaa hemani kama kumbukumbu ya ukombozi wao kutoka Misri.
 
Unajua biblia ilivyotafsriwa kwa kiswahili cha kimvita ,?

Je Unajua kiswahili kinakosa maneno kinakopa kwa kiarabu?
Biblia za kivita ni za Zamani kweli. Hivi bado zipo na zinapatikana madukani?
 
Karni kwa kutulia wanangu hizi dini tumeletewa tu na waarabu na wazungu zisitugawanye tukawa maadui wa kudumu. Ni ngumu sana kuthibitisha kwamba dini Yako ni sahihi kuliko nyingine.
Maswali ni mengi kuliko majibu. Fuata vile unaamini ni sawa. Usimlazimishe mtu kuwa vile upendavyo!
 
Ulaya gan unayosemea?.
Hii ya Greece. Malta. Spain. Italy .poland Romania. To name a few.
Uk Ina wabunge 25 waislam,madiwani 7,akiwemo Meya WA jiji la London ni mwislam.
France ishajifia,,,Uk loading,,,,,,
20240710_192806.jpg
 
hauna time mbona kila wakati unaandika habari ya uislam, kwanini usiandikie dini yako kama unayo
Naandika kuwasanua maana haiwezekan umeenda shule lakin unadanganywa uislamu ulikuwepo kabla ya Muhammad

Huu ujinga ndio niliukataa siku naukana uislamu

Wakaniambia MASHEIKH eti Yesu aliingia msikitini ,wakanipa Luka 4:16

Nikawa piga swali ambalo waliamua kunisomwa Fatwa

Niliwaomba ushahidi wa kuwepo uislamu kabla ya Muhammad,

Nikawauliza masjid maana yake nini na synagogue maana yake ni masjidi ?
 
Back
Top Bottom