Waislam nijibuni hili

Waislam nijibuni hili

Hili ndilo kubwa.
Kuna watu walikuwa wanapata hela za madini.

Wanapanga magari yao. Wananunua bia. Makreti meengi ya bia.

Halafu badala ya kutumia maji kuosha yale magari. Wakawa wanatumia bia kuosha yale magari.

Mimi siwezi kufanya vile. Lakini magari yao, bia zao, hela zao. Sikuwa na cha kuwapinga wala kuwapangia.

Hata mtu akifanya kitu ambacho mimi naona hakifai, ila, kama kafanya kwa hela zake na mimi hakinidhuru, ni sawa. Kivyake.

Sitaki kumpangia jinsi ya kutumia hela yake. Na yeye sitaki anipangie jinsi ya kutumia hela yangu.

Ndivyo watu wenye ustaarabu wanavyoishi hivyo.

Hizi habari za nani katumia vipi hela zake ni ujima, ushamba, wivu na ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukaa kimya ni busara pia. Wakati mwingine kunaficha upumbavu ulionao.

Na si lazima kila uzi uchangie.
Wewe mpumbavu squared.

Unaandika kukaa kimya ni busara wakati wewe hujakaa kimya.

Contradiction.

Your subconsciously passive-aggressive attempts at retail condescension will neither work with me nor move me a bit.

Ukitaka kumpangia mtu baki matumizi ya hela zake utajikuta unabong'oleshwa hivi hivi.

Waswahili walisema cha mtu mavi.

Kiogope.

Hawakuwa wajinga.

Wewe unatolea macho cha mtu baki.

Acha tabia hiyo.

Jenga chako. Tuoneshe yule hajajenga hospitali. Nimeona mapungufu. Mimi nimejenga hospitali hii hapa.

Lord Buddha alisema, usiniambie maji ninayokunywa ni machafu.

Nioneshe maji safi halafu mwenyewe nione haya maji ninayokunywa ni machafu na yako ni safi. Waingereza hii wanaiita "Action speaks louder than words". Show me, don't tell me.

Acheni kupiga kelele.

Jengeni mnachoona nyie kinafaa.

Hata Biblia imekataza imani bila matendo.

Fanyeni matendo, acheni umbea.

Nawaachia neno la Biblia liwafunze kitu.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Yakobo 2:14-18 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)

Imani Na Matendo

14 Kuna faida gani, ndugu zangu, ikiwa mtu atasema, “Ninayo imani,” na huku hana matendo? 15 Tuseme ndugu fulani au dada hana nguo wala chakula. 16 Ikiwa mmoja wenu atawaambia, “Nendeni salama, mkaote moto na kushiba,” pasipo kuwapatia mahitaji yao ya mwili, kuna faida gani? 17 Vivyo hivyo imani peke yake kama haina matendo, imekufa.

18 Lakini mtu mwingine atasema, “Wewe unayo imani; mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nita kuonyesha imani yangu kwa matendo yangu. 19 Unaamini kuwa kuna Mungu mmoja. Vema. Lakini hata mashetani huamini hivyo, nao hutetemeka!



xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Disclaimer. I am an atheist who reads all sorts of books, including the Bible.

So dont get a hard on just because I quoted the Bible.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lile kanisa la kkt pale dodoma karibu na General kwanini hawakujenga shule..au kiwanda.

Kama unauwezo omba eneo ujenge Shule kwani hujakatazwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mpumbavu squared.

Unaandika kukaa kimya ni busara wakati wewe hujakaa kimya.

Contradiction.

Your subconsciously passive-aggressive attempts at retail condescension will neither work with me nor move me a bit.

Ukitaka kumpangia mtu baki matumizi ya hela zake utajikuta unabong'oleshwa hivi hivi.

Waswahili walisema cha mtu mavi.

Kiogope.

Hawakuwa wajinga.

Wewe unatolea macho cha mtu baki.

Acha tabia hiyo.

Jenga chako. Tuoneshe yule hajajenga hospitali. Nimeona mapungufu. Mimi nimejenga hospitali hii hapa.

Lord Buddha alisema, usiniambie maji ninayokunywa ni machafu.

Nioneshe maji safi halafu mwenyewe nione haya maji ninayokunywa ni machafu na yako ni safi. Waingereza hii wanaiita "Action speaks louder than words". Show me, don't tell me.

Acheni kupiga kelele.

Jengeni mnachoona nyie kinafaa.

Hata Biblia imekataza imani bila matendo.

Fanyeni matendo, acheni umbea.

Nawaachia neno la Biblia liwafunze kitu.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Yakobo 2:14-18 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)

Imani Na Matendo

14 Kuna faida gani, ndugu zangu, ikiwa mtu atasema, “Ninayo imani,” na huku hana matendo? 15 Tuseme ndugu fulani au dada hana nguo wala chakula. 16 Ikiwa mmoja wenu atawaambia, “Nendeni salama, mkaote moto na kushiba,” pasipo kuwapatia mahitaji yao ya mwili, kuna faida gani? 17 Vivyo hivyo imani peke yake kama haina matendo, imekufa.

18 Lakini mtu mwingine atasema, “Wewe unayo imani; mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nita kuonyesha imani yangu kwa matendo yangu. 19 Unaamini kuwa kuna Mungu mmoja. Vema. Lakini hata mashetani huamini hivyo, nao hutetemeka!



xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Disclaimer. I am an atheist who reads all sorts of books, including the Bible.

So dont get a hard on just because I quoted the Bible.


Sent using Jamii Forums mobile app
But you said the Bible is full of bullsh*t, so that has changed now?
 
Nimepitia karibu comment zote zilizotangulia humu

Nilichogundua waTanzania wengi hatupendi kujifunza na kuchukua hatua

Mimi ni Mkristo ila sio kila kitu kwenye ukristo nakiamini! Na hii ni baada ya kujifunza baadhi ya vitu nikiwa na "open mind"! Unajifunza kitu pasipo kufungwa na hisia au kushikilia ulichokwisha aminishwa!

Mfano, mpaka leo kuna watu wanabandika picha za yule mzungu aliyeigiza picha ya Yesu kwamba ndio Yesu Mwenyewe! Na huwaambii chochote wakakuelewa maana hata baadhi ya vitu vya dini vina picha yake! (Angalau siku hizi waandishi wengi hawaitumii)

Mpaka leo kuna watu ukiwaambia padri fulani amezaa na mwanamke fulani watatamani kukupiga mawe! Hawaamini kitu kama hicho! Wanasahau kwamba sote ni binadamu!

Na hayo ni madhara ya mapokeo ya hizi dini! Tuliaminishwa sana vitu visivyo na uhalisia!

Kwa mfano, wenzetu waislam wanaamini ukitoa Swadaka ya kujenga Msikiti wewe tayari umeshaiona pepo! Yaani kwa Swadaka ya Msikiti tayari umetengeneza njia ya kufika peponi bila kujalisha Maisha yako mengine yakoje!

Kuna vitu hutakiwi kuvimeza kama vilivyo! Kuna vingine unatakiwa utafune, tena vingine utafune kwa uangalifu maana vinaweza kuwa na vipande vya mawe ukatakiwa uteme!

Kwa mfano, Mimi nilishawahi kuhoji! Ukiangalia mitaani hasa Morogoro mjini karibu kila mtaa kuna msikiti na pengine mtaana mmoja kuna misikiti hadi mitatu!

Ukiangalia sio kwamba huwa inajaa yote na wala sio kwamba iko mbali mbali kiasi cha kusema watachelewa wale wanaoswali swala tano! Jibu ni Hapana! Ipo karibu karibu tu!

Cha zaidi utakuta kila Msikiti una jina lake! Huu Msikiti wa fulani na ule Msikiti wa fulani.

Halafu mtaa huo huo utakuta hamna hata zahanati. Wote wakipata shida utakuta wanakutanikia zahadi moja kiasi cha kukaa foleni kwa muda mrefu na kupoteza muda mwingi wa kufanya shughuli nyingine.

Ukienda shule ya msingi au sekondari iliyopo ndani ya kata husika (ambamo kuna misikiti kibao) utakunana na shule moja, yenye upungufu mkubwa wa madarasa, yenye mrundikano mkubwa wa wanafunzi wasio na madawati ya kukalia kitu kinachopelekea ufaulu hafifu!

Unakutana na shule inazaidi ya miaka mitano wahitimu wake hakuna aliyewahi kupata division one na wanaopata division two ni kuanzia watatu hadi watano Kati ya wahitimu zaidi ha 150!

Mbaya zaidi wakishatoka hapo, hakuna hata vyuo vya ufundi watakavyokutana navyo huko msikitini!

Ni kweli kabisa serikali haijengi misikiti wala makanisa hivyo ni jukumu la waumini kujenga nyumba zao za ibada. Lakini hili haliwanyimi fursa waumini hao hao kujenga shule, vyuo, hospital kwa ajili ya maendeleo ya waumini wao na jamii nzima kwa ujumla

Tanzania kuna madhehebu mengi sana, lakini yenye waumini wengi nadhani ni mawili! Uislam na Ukatoliki

Hawa maana yake wanawaumini wengi. Kwa maana nyingine hata huko mashuleni kuna waumini wao wengi. Hospital kuna waumini wao wengi wanaenda kutibiwa huko

Kuna shida gani mtaa ukiwa na Msikiti mmoja halafu badala ya kuongeza misikiti mingine miwili (ambapo sio kwamba huo wa kwanza unajaa) wakajenga shule au zahanati?

Tunaaminishwa kwamba mambo ya Imani za watu sio vizuri kuyahoji, lakini hii sioni kama ni sahihi kwasababu walio kuja na hizi dini ndio hao hao wanatukazania tuache kuhoji hoji baadhi ya mambo.

Mwenyezi Mungu anatupenda sana, ametupa akili ili tuzitumie. Hakuna mipaka ya kuhoji kwasababu anayehoji anatafuta maarifa au majibu ya kutatua tatizo fulani

Wao walipokuja huku walihoji Imani za Babu zetu wakaziita Imani potofu! Kwanini sisi tuamini tu wao wako sahihi kwenye kila jambo? Inamaana wao walipewa akili nyingi kuliko sisi? Hii sio sahihi! Kuna vitu vingi tu wanataka tuvitimize kwa kigezo cha Imani za dini za kutohoji baadhi ya mambo

Kwamba ukijenga shule au hospital wakatumia wote wenye dini na wasio na dini peponi panakuwa mbali!?

Kwamba kukikwa na Msikiti kila baada ya mita kumi ndio kumfarahisha Mungu wakati jamii hiyo hiyo yenye Msikiti kila baada ya mita kumi kuna janga la umasikini, watu wake wakiumwa watahitaji kutembea zaidi ya kilometa kadhaa kufuata huduma na watalazimika kuisubiria kwa masaa kadhaa.

Watu hao hao watoto wao hawana shule za chekechea, wana shule moja ya msingi mkondo mmoja wanafunzi 100 na robo tatu wanakaa chini

Watu hao hao wanashule moja ya sekondari ya kata yenye uhaba mkubwa wa madawati, matundu ya vyoo hayatoshi, hakuna maji, mkondo mmoja wanakaa wanafunzi zaidi ya 90 !



Sent using Jamii Forums mobile app
There you are..nilikua nasoma comments za watu humu na mwisho niandike.
Lakini cha kushangaza, umeandika kile kilichokuwemo kwenye akili yangu.
Tukubali waislamu kwa wakristo weusi, badala ya dini kutujenga nadiriki kusema imezidi kuzorotesha akili zetu kwa kufungwa minyororo mizito.

You saidi it all!
 
But you said the Bible is full of bullsh*t, so that has changed now?
Can't the Bible have a lot of bullshit and at the same time a lot of wisdom?

Did I ever say that the Bible is unquotable?

Some of the points in the Bible were there long before the Bible existed.

They were taken from "The Epic of Gilgamesh" and "The Egyptian Book of The Dead".

Do you know that? Do you know these books?

Do you know that some people use the Bible because of the currently easily accessible nature of its contents?

Do you know that you are presenting a logical non sequitur by equating the statement "the Bible is full of bullshit" with "the Bible is fully unquotable"?

Do you understand the two are not the same?

Do you understand that "The Prophecies of Nostradamus" are also full of bullshit, but, that does not make them unquotable.

Do you know that Homer's "The Iliad" and "Odyssey" are full of bullshit, but that does not make them unquotable.

Do you know that "The Satires of Juvenal" is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Boccaccio's "The Decameron" is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Drakes equation is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Aesop's Fables are full of bullshit, but that does not make them unquotable.

Do you know that Wittgenstein's "Philosophical Investigations" is full of bullshit, but that dies not make it unquotable.

Do you know that Freud's "The Interpretation of Dreams" is full of bullshit, but that does nit make it unquotable.

Do you know that a book can be so quotable despite being full of bullshit?

Do you know that a book can be so quotable because it is full of bullshit?





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisikia na baadae kuona Mbwana Samatta katoa sadaka ya kujenga msikiti eneo lile lingetosha shule, hospital au kiwanda kidogo, kwa nini msikiti na pale kuna misikiti kibao inamaana zawadi ni msikiti tu hamtaki maendeleo zaidi ya misikiti?

Wakati nikiwa Morogoro nilishuhudia IGP mstafu mzee mahita akikabidhi msikiti licha ya eneo lile kuwa kubwa angeweza kujenga shule, zahanati au kitega uchumi chochote kitoe ajira watu wanufaike ,nikajiuliza zawadi ya maana ni msikiti

Misaada mingi ya mataifa ya kiislamu yaliyopiga hatua kama Qatar, Saudi Arabia,Brunei, Irani, Kuwait ,Oman na n.k wanaleta pesa wajenge misikiti mfano ule msikiti mkubwa pale Dodoma wa ghadafi angeweza kujenga chuo,shule ,zahanati na pale Dodoma misikiti ipo kibao kwa nini msikiti?

Juzi nimemuona msanii mkubwa yule ambaye anhmgeweza kujenga shule pale kigoma,zahati au hata kiwanda amechoma pesa kwa kujenga msikiti na pale kigoma misikiti imejaa kila mtaa hivi hakuna cha maana zaidi ya misikiti.

My take
Kuna haja mjipange maana mnatumia nguvu kubwa kujaza misikiti lakini maeneo mnayokaa yamejaa changamoto za shule, zahanati, vyuo na kero chungu mzima, jiongezeni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda pengine Gharama za msikiti ni ndogo kuliko za shule. Msikiti unajengwa Kama hall tu, tofauti na madarasa au hospital ambayo ukiacha majengo, yatahitaji nguvu kazi (employees) na vifaa pia.

Lakini tukiweka Gharama kando, hoja yako ina matiki kiasi. Kuna wanaosema kua Waarabu walileta utumwa na dini wakati wazungu walileta shule na dini Ndio Sababu mavyuoni (kisha maofisini) wakristo ni wengi kuliko waislam. Ili kutatua hii tofauti waislam tugejikita zaidi kwenye shule pia.
 
You are contradicting yourself.

Unasema unakubali mtu baki asipangiwe cha kufanya na hela yake.

Lakini kama kuna msikiti tayari unamoangia asijenge msikiti.

Ajenge hata misikiti mia imeongozana. Hela yake. Wewe tafuta yako nawe ujenge unachotaka kwa hela yako.

Argument yako haina logic.

Unakubali mtu asipangiwe cha kufanya kuhusu hela zake, halafu unampangia.

Tafuta hela zako ujenge unachoona kimepungua. Waache wengine wajenge wanachoona kimefaa.

Unampangia mtu ajenge hospitali wakati oengine anataka watu wafe wawahi kuenda mbinguni kuonana na Mungu kqa mujibu qa imani yake.

Sasa hapo huoni umemuingikia kwenye imani yake?

Acha kukodolea macho hela za watu na kuzipangia matumizi.

Tafuta zako. Pangia matumizi hela zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu,umejuaje nazitamani pesa za mtu mwingine!!

umejuaje mimi sina au sijazifanyia chochote!
 
I see hii naye ni mada hahahhh tumeishiwa mawazo
Kwani mtu anapangiwa matumizi ya kilicho chake?!
Udini huu mnauleta wenyewe
Ni hivi hata nchi za magharibi wanaheshimu dini ndio maana makanisa yaliyoshindwa kujiendeleza wanageuza kuwa misikiti. Zote hizi ni nyumba za ibada shida iko wapi?
 
mkuu,umejuaje nazitamani pesa za mtu mwingine!!

umejuaje mimi sina au sijazifanyia chochote!
Unajua kusoma? Kwa ufasaha?

Wapi nimeandika unazitamani pesa za mtu mwingine?

Wapi nimeandika huna na hujazifanyia chochote?

Unaweza kunipa nukuu ya maneno yangu nilipoandika hayo?

Au una kifaduro cha ubongo kimekufanya ukose kujua kusoma kwa ufahamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka Umri huo hujui tu akina nani wanafuga Midevu na Majini??Haya niambie nchi yoyote ya Mashariki ya kati ambako dini imekolea na wana Amani!!!! hata pale kwa ndugu zako Somalia pametulia???
Indonesia ndio nchi yenye idadi kubwa ya waislamu duniani,kuna vita?au Brunei amani IPO au haipo, nchi ambayo serikali yake ni tajiri inamlipia kila mwanaume safari ya kwenda hijja.uwe una acha kudanganya hadharani.
 
Hospitali zingetoa huduma za afya na shule zingetoa elimu pia.
imeandikwa katika Quran kwamba hapa duniani tukiondoka kitu pekee tutakacho kiacha na chenye manufaa baada ya kuondoka kwetu ni swadakatl_jaalia yaan sadaka yenye kuendelea. kwa mfano:
msikiti-watu wataendelea kusalia hata kama haupo
kisima-watu watakunywa na kutumia maji
mti wa matunda,
mtoto uliempa elimu ya dini, nk.

Hivyo watu wana chimba visima, kijenga misikiti, kupanda miti ya matunda, kununua vitabu vya dini(quran) jua sababu kuu ndo hyo hapo juu. Hasa zaidi ni maandalizi ya kesho baada ya kuachana na uhai wa dunia.

Natumai umenielewa. mengine wataongezea wadau.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna cha amali. Mtu ajenge misikiti hata kujaza dunia lakini akawa na mambo ya ajabu ajabu adhabu yake iko pale pale.
Uzuri hatuangalii mambo ya kidunia zaidi ya kujenga akhera yetu, hamjui kama kuna amali huwa zinaendelea kumpatia thawabu aliezifanya hata kama baada ya kufariki kwake? Basi nyie endeleeni na kuponda raha za dunia tuacheni/waacheni wanaojenga akhera zao. فقة

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom