Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,363
Kwahiyo akhera inajengwa kwa kutoa misaa ya bia, pombe mbali mbali, kitimoto na damu ya yesu?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kwahiyo akhera inajengwa kwa kutoa misaa ya bia, pombe mbali mbali, kitimoto na damu ya yesu?
umekurupuka kujibu mkuu.Kumpangia mtu baki matumizi ya hela yake ni wivu au ujinga, inawezekana wivu wa kijinga.
Tafuta zako, fanyia vyovyote unavyotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbavu wewe. Ficha ujinga wakoHaya ni yale umemezeshwa huko madrassa, wala huna uhakika.... tunaamini ‘elimu ahera’ ndio kitu pekee muhimu.
vyovyote iwavyo,kama lengo ni sadaka.
labda sababu ya vichwa mgando vya wengi wetu,ndio tunaona kuna tatizo kwa mleta mada,na hii imefanya hata tz yetu leo kuwa ilipo,sababu ya kupuuzia mapungufu ambayo tunaamini hayatuhusu.Kiongozi, jitahidi kutoingilia imani za watu wengine.
Inawezakana Wakristo tulio wengi hatujenga makanisa kama watu binafsi lakini wengi wetu tunachangia sana ujenzi wake kila wiki. Hata sehemu ambazo makanisa yameisha jengwa, michango haijawahi kusimama. Kwa matiki yako, kwa nini tusipeleke michango hiyo kwenye mashule au hospital?
fanya ujinga mwingine halafu,komaa kujenga misikiti,uone kama kuna pepo ya bei rahisi kiasi hicho.Kwahiyo akhera inajengwa kwa kutoa misaa ya bia, pombe mbali mbali, kitimoto na damu ya yesu?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
ndio point yake,misikiti ipo,watu wanatumia mwanya huo kujinufaisha kiumaarufu,waislamu bila kujua wanakubali kuingia mkenge.Nadhani hili laendana na Dini ya mtu.
Kwa Muislamu kuacha zawadi ya Dini ndiyo iliyokubwa.
Nadhani wazo bora ni kujenga kilicho haba.
Kwahiyo akhera inajengwa kwa kutoa misaa ya bia, pombe mbali mbali, kitimoto na damu ya yesu?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
sasa kwani jamii inahitaji visima na misikiti peke yake!!!Labda umetaja misikiti kwa kuwa ndio unayoisikia kuna taasisi inaitwa african muslim agency hawa wamechimba visima kila wilaya unaiyoijua wewe tanzania.au hili huna taarifa zake ???
hilo sio swala la kusema labda.ni pie hiyo.Wasaidieni watoto yatima wapate mahitaji yao na waende shule,wagonjwa wasio na uwezo,wafungwa na maskini waweze kuinuka labda mnaweza kuipata hiyo akhera njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda umenielewa vibaya..ndio point yake,misikiti ipo,watu wanatumia mwanya huo kujinufaisha kiumaarufu,waislamu bila kujua wanakubali kuingia mkenge.
sawa msikiti ukiishajengwa hauwezi kukataliwa,sharti utoe huduma ilitokusudiwa,lakini kubishia hili swala la msingi hivi,nimeshangaa sana.
Hili ndilo kubwa.Kumpangia mtu baki matumizi ya hela yake ni wivu au ujinga, inawezekana wivu wa kijinga.
Tafuta zako, fanyia vyovyote unavyotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mnaongea hisia...hujui hata kama mimi ni muislamu au la.Si ndiyo mnavyofanya mnauana harafu mnasingizia Marekani na Israel kuwa zinawachonganisha!!!