Ni kweli ila ukumbuke nchi zenye maendeleo makubwa duniani yaani super power countries zina amini katika upagani. Hapo kama unaumwa lazima utengeneze dawa ili ujitibu, unataka kutengeneza ndege lazima uende shule ukasome, unataka kuwa daktari lazima uende shule, tatizo la maji lazima utengeneze miundo mbinu ya maji n.k na siyo kumuomba Mungu akupe.
Kiranga anamini hakuna mungu ndiyo mawazo walionayo wazungu kuwa shida lazima zitatuliwe na wanadamu na lazima watengeneze maendeleo kwa vizazi vinavyokuja. Una tatizo la moyo, tunaubadilisha na kuweka mwingine.
Kiranga ni miongoni mwa wafrika wenye akili ndogo za kuangalia maisha mafupi ya kwake tu. Leo tunatamani kwenda Canda, Marekani au uingereza. Unafikiri na wao wangejenga makanisa kila kona wangekuwa na maendeleo?