miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
me nataka ule uhuni wa kumega wake wakishua ambao hawaulizi hela, sasa wewe si utakuwa unaniuzia??!!
sasa kumbe utaka vya bure ... nenda kwa mke wa kishua tu
me nataka ule uhuni wa kumega wake wakishua ambao hawaulizi hela, sasa wewe si utakuwa unaniuzia??!!
Evelyn Salt hana shidaokay miss chagga, count me in. Ila mmh ngoja kwanza nimuombe ruhusa my sweetest Antii Evelyn Salt.
ndiyo hivyo maswala ya dushe achana nayo
Sasa hapa si kama porini tu atakaewahiwa ndo analiwa....Most of men wanasahau kwamba malipo ni hapahapa duniani, umezoea kuchapa wa wenzio jua na wako utachapiwa tu, kama si mkeo binti zako watachapwa kinoma, usilaumu muda ukiwadia.
mimi habari za kihuni zinazoletwa na wahuni siziamini,.....
wahuni wataendelea kupata credit kama hali ndo hii, ina maana dawa ni kuchapwa na wahuni?
mpka wakutafunie ndiyo utaamini
Na hao wanaomegwa ovyo akili zimejaa maji tu...
Wahuni ndio wanapatikana na wana muda wa kutosha,halafu wanajua mambo ile mbaya!!!!!
Lakini wahuni si wanaambulia makombo mme keshakula mpaka kakinai ndipo mhuni naye kaja kulambalamba uchafu utadhani kambwa flan hivi kapo jalalani kanalamba mifupa, chukua kitu new brand bana...!!
Jana nilikuwa sehemu nimekaa na kupiga story na wahuni fulani, mhuni mmoja akaibuka na story, alikutana na mke wa mtu, mke mwenyewe yupo fiti na ana usafiri wake na biashara zake, kifupi mke wa mshua hapa town,
Mhuni akampiga sound, akatoa namba ya simu kwa mashariti asimpigie usiku, mwisho wa kupiga saa 12, mhuni akaendelea kuchat sana, huku akichomekea hapa na pale, siku ya siku mke wa mshua akala ndoano, mhuni alisema alimpa ujuzi wote, eti nilikuwa nazama hadi chumvini,
Nilimpagawisha hadi mke wa mshua akawa anasema mme wangu hanifanyii haya, mhuni anasema anaendelea kula mzigo na mke wa mshua kadata. Haya sasa washua, wahuni wanajituma kuliko maelezo.
ngoja nawasubiri kwa hamu wanitafunie.......