Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Mke wa mtu Sumu ila kama hasikii na kuona mteremko ila akitembelewa na POPOBAWA wa mtungo asikimbilie kujiua tuu maana mbegu za m/ume mwenzio zikishaingia kwenye Masaburi basi tena huna ujanja. Mayonaise ya kiume ni hatari kwa Afya yako, Epuka Mke wa mtu
 
Kama mwanamke hajiheshim hata umlambe mkunndu lazima atatoka nje tu.
 
Na siku huyo muhuni akifumuliwa malinda kwa kiupakwa sabuni huku anapigwa picha mje humu kuhadithia
 
Jamani ndoa zina malengo mengi, kuna mtu anaoa kwa sababu ya watoto na kutunziwa nyumba na Mali nyingine.
kama watoto ameshapata papuchi anawaachia wahuni waangaike nayo ye anaangaikia pesa na ustawi WA maisha ya wanawe.

We unasema unaiba na yeye anasema bora angetokea mhuni anisaidie kusugua.

una uhakikika na ukisemacho???
 
Mhuni ana moyo...kuzama chumvini ambako mwanaume mwenzio kapitisha DYUDYU...

wahuni wanasafisha tu mkuu halafu wanaendelea, ndo maana vyombo hata kama vikichafuta vipi vikipigwa povu vinatumika tena, kama watu wanarecycle maji taka na yanarudi kunyweka itakuwa hili???
 
Back
Top Bottom