Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Jana nilikuwa sehemu nimekaa na kupiga story na wahuni fulani, mhuni mmoja akaibuka na story, alikutana na mke wa mtu, mke mwenyewe yupo fiti na ana usafiri wake na biashara zake, kifupi mke wa mshua hapa town,

Mhuni akampiga sound, akatoa namba ya simu kwa mashariti asimpigie usiku, mwisho wa kupiga saa 12, mhuni akaendelea kuchat sana, huku akichomekea hapa na pale, siku ya siku mke wa mshua akala ndoano, mhuni alisema alimpa ujuzi wote, eti nilikuwa nazama hadi chumvini,

Nilimpagawisha hadi mke wa mshua akawa anasema mme wangu hanifanyii haya, mhuni anasema anaendelea kula mzigo na mke wa mshua kadata. Haya sasa washua, wahuni wanajituma kuliko maelezo.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Zali la mentali by prof jay
 
Hahahahaaaa, kuchapiwa ni siri ya ndani but wengi tunayataka wenyewe, mme 7 days unaamka saa 12 asubuhi kurudi saa 6 usiku, weekend uko kwenye vikao vya harusi, huna muda na wife wako wategemea nini, usiku wenyewe ukirudi unadai kuchoka sana sana utampa cha kulaximisha unageukia ukutani, unategemea nini!!!
 
Hahahahaaaa, kuchapiwa ni siri ya ndani but wengi tunayataka wenyewe, mme 7 days unaamka saa 12 asubuhi kurudi saa 6 usiku, weekend uko kwenye vikao vya harusi, huna muda na wife wako wategemea nini, usiku wenyewe ukirudi unadai kuchoka sana sana utampa cha kulaximisha unageukia ukutani, unategemea nini!!!

anategemea kuchapiwa
 
mhuni hafai. ila siku hizi kuchapa nje na kuchapiwa, si ni kawaida tu? ama. ebu mliopo kwenye ndoa tuambieni. Inasemekana wanaume wengi wakishaingia kwenye ndoa wanakuwa wavivu wa kugegeda. Wanawake wengi sana wanalalamika hivyo, the last resort ni kugawa mbunye nje ili ishuhulikiwe na wajuvi wa mambo.
 
Hahahahaaaa, kuchapiwa ni siri ya ndani but wengi tunayataka wenyewe, mme 7 days unaamka saa 12 asubuhi kurudi saa 6 usiku, weekend uko kwenye vikao vya harusi, huna muda na wife wako wategemea nini, usiku wenyewe ukirudi unadai kuchoka sana sana utampa cha kulaximisha unageukia ukutani, unategemea nini!!!

wahuni wataendelea kupata credit kama hali ndo hii, ina maana dawa ni kuchapwa na wahuni?
 
Nasikia walio nje ya ndoa wanafanya mapenzi mara nyingi kuliko wanandoa...
 
Mwambie huyo muhuni siku zake zimeshaanza kuhesabiwa alipoanza tu kuchat na huyo mwanamke.
Yatakayomfika sisi tutasoma tu kwenye magazeti ya Udaku wala hatutakuwepo.

Jana nilikuwa sehemu nimekaa na kupiga story na wahuni fulani, mhuni mmoja akaibuka na story, alikutana na mke wa mtu, mke mwenyewe yupo fiti na ana usafiri wake na biashara zake, kifupi mke wa mshua hapa town,

Mhuni akampiga sound, akatoa namba ya simu kwa mashariti asimpigie usiku, mwisho wa kupiga saa 12, mhuni akaendelea kuchat sana, huku akichomekea hapa na pale, siku ya siku mke wa mshua akala ndoano, mhuni alisema alimpa ujuzi wote, eti nilikuwa nazama hadi chunvini,

Nilimpagawisha hadi mke wa mshua akawa anasema mme wangu hanifanyii haya, mhuni anasema anaendelea kula mzigo na mke wa mshua kadata. Haya sasa washua, wahuni wanajituma kuliko maelezo.
 
Na hao wanaomegwa ovyo akili zimejaa maji tu...
 
Jamani ndoa zina malengo mengi, kuna mtu anaoa kwa sababu ya watoto na kutunziwa nyumba na Mali nyingine.
kama watoto ameshapata papuchi anawaachia wahuni waangaike nayo ye anaangaikia pesa na ustawi WA maisha ya wanawe.

We unasema unaiba na yeye anasema bora angetokea mhuni anisaidie kusugua.
 
Back
Top Bottom