Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Lakini wahuni si wanaambulia makombo mme keshakula mpaka kakinai ndipo mhuni naye kaja kulambalamba uchafu utadhani kambwa flan hivi kapo jalalani kanalamba mifupa, chukua kitu new brand bana...!!

kaka siku hizi kuna new brand hao ambao hawajaolewa ndo wanaliwa na watu wengi bora mke wa mtu
 
Lakini wahuni si wanaambulia makombo mme keshakula mpaka kakinai ndipo mhuni naye kaja kulambalamba uchafu utadhani kambwa flan hivi kapo jalalani kanalamba mifupa, chukua kitu new brand bana...!!

Makombo una maana gani...tena tema mate chini....hile kitu aina makombo wewe acha kabisa.
 
Jana nilikuwa sehemu nimekaa na kupiga story na wahuni fulani, mhuni mmoja akaibuka na story, alikutana na mke wa mtu, mke mwenyewe yupo fiti na ana usafiri wake na biashara zake, kifupi mke wa mshua hapa town,

Mhuni akampiga sound, akatoa namba ya simu kwa mashariti asimpigie usiku, mwisho wa kupiga saa 12, mhuni akaendelea kuchat sana, huku akichomekea hapa na pale, siku ya siku mke wa mshua akala ndoano, mhuni alisema alimpa ujuzi wote, eti nilikuwa nazama hadi chumvini,

Nilimpagawisha hadi mke wa mshua akawa anasema mme wangu hanifanyii haya, mhuni anasema anaendelea kula mzigo na mke wa mshua kadata. Haya sasa washua, wahuni wanajituma kuliko maelezo.

Hadithi yako inatufundisha nini?
 
mhuni hafai. ila siku hizi kuchapa nje na kuchapiwa, si ni kawaida tu? ama. ebu mliopo kwenye ndoa tuambieni. Inasemekana wanaume wengi wakishaingia kwenye ndoa wanakuwa wavivu wa kugegeda. Wanawake wengi sana wanalalamika hivyo, the last resort ni kugawa mbunye nje ili ishuhulikiwe na wajuvi wa mambo.

kuchapiwa sio kawaida mkuu... tuko wengi tunaoheshimu ndoa zetu...
 
Ni upuuzi kuleta uzi huu ukizingatia mademu wa kupiga wako kibaaaaooo wakiwemo na w ake za. Wa tu nk nk
 
Dunia sasa hivi imevaa bukta...yaani shagalabagala...
Nimesoma jana kwenye website moja ya wapopo kijana analalamika tabia ya ma sugar daddy kumendea dogo dogo...

Amepiga picha zawadi alizopewa girlfriend wake na married man...analalamika kuwa sasa wao vijana wasio na pesa wafanyeje...anasema sio fair kutumia pesa kuwnyang'anya vijana wapenzi wao...na hivyo vitu vina thamani ya 700K Naira (nimeshindwa ku convert haraka lakini Naira iko juu ni kama 1 to 100 dollar)

Huku nakuta vijana wanatamba kutembea na married women...basi equation imesha balance...gari mbovu haivuti gari nzima (sijuhi msemo wa King'ast au Kongosho...not sure)
 
Jamani ndoa zina malengo mengi, kuna mtu anaoa kwa sababu ya watoto na kutunziwa nyumba na Mali nyingine.
kama watoto ameshapata papuchi anawaachia wahuni waangaike nayo ye anaangaikia pesa na ustawi WA maisha ya wanawe.

We unasema unaiba na yeye anasema bora angetokea mhuni anisaidie kusugua.


Alaaa....kumbe!!!
 
Zimejaa maji mkuu..tena ya chooni!!!

teh! inauma ee..nyie c mnajifanya mnavjIsent mnapanga michepuko kibao.. mkeo humridhishi michepuko huiridhishi wote wanaliwa na wahuni...unabaki babu jinga....
 
teh! inauma ee..nyie c mnajifanya mnavjIsent mnapanga michepuko kibao.. mkeo humridhishi michepuko huiridhishi wote wanaliwa na wahuni...unabaki babu jinga....

Te te te ...leo naona zamu ya married men...naona vijana mmeanza kurusha makombora...
 
na kweli maana mchumba wako akikutana na mziki wa muhini ni hatari... we si unapiga kawaida coz umemzuea na unajihakikishia kuwa ni wako daima...
wahuni wakiliona tuta barabarani huwa speed haipungui mpaka tuta lenyewe linakoma....sio mwengne speed inafika hadi zero kilometer unafikiri tuta litasikia mpando wowote hapo?....
 
Back
Top Bottom