Jana nilikuwa sehemu nimekaa na kupiga story na wahuni fulani, mhuni mmoja akaibuka na story, alikutana na mke wa mtu, mke mwenyewe yupo fiti na ana usafiri wake na biashara zake, kifupi mke wa mshua hapa town,
Mhuni akampiga sound, akatoa namba ya simu kwa mashariti asimpigie usiku, mwisho wa kupiga saa 12, mhuni akaendelea kuchat sana, huku akichomekea hapa na pale, siku ya siku mke wa mshua akala ndoano, mhuni alisema alimpa ujuzi wote, eti nilikuwa nazama hadi chunvini,
Nilimpagawisha hadi mke wa mshua akawa anasema mme wangu hanifanyii haya, mhuni anasema anaendelea kula mzigo na mke wa mshua kadata. Haya sasa washua, wahuni wanajituma kuliko maelezo.
wahuni wataendelea kupata credit kama hali ndo hii, ina maana dawa ni kuchapwa na wahuni?
hazijaja maji mkuu,mtu mpaka amegewe ina maana kashamsahau mkewe naye kahamia nyumba ndogoNa hao wanaomegwa ovyo akili zimejaa maji tu...
natamani kuwa muhuni ila sijui naanzia wapi
anza na mimi yani wiki moja uwe fuska ila uwe na hela 🙂🙂
unamaanisha jino kwa jino?
Exactly mkuu, dawa ya "wahuni" wanaolala na wake "wasiojitambua" ni ile ya movie ya UNFAITHFUL. Kitu limeolewa lakini kutwa kucha kukitembeza nje...!Angalia movie inaitwa...UNFAITHFUL Ndo utajua wahuni wanafanywaga nini baada ya kuchovya wake za watu.
hazijaja maji mkuu,mtu mpaka amegewe ina maana kashamsahau mkewe naye kahamia nyumba ndogo
tafuta ankara alafu tangaza nia basi