Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Wahuni watatembea sana na wapenzi wetu

Acha wamegewe tu, na wamegewe sana!!!

Most of men wanasahau kwamba malipo ni hapahapa duniani, umezoea kuchapa wa wenzio jua na wako utachapiwa tu, kama si mkeo binti zako watachapwa kinoma, usilaumu muda ukiwadia.
 
Hahahahaaaa, kuchapiwa ni siri ya ndani but wengi tunayataka wenyewe, mme 7 days unaamka saa 12 asubuhi kurudi saa 6 usiku, weekend uko kwenye vikao vya harusi, huna muda na wife wako wategemea nini, usiku wenyewe ukirudi unadai kuchoka sana sana utampa cha kulaximisha unageukia ukutani, unategemea nini!!!

Hakuna cha majukumu ni kujipanga tu hata kama uko bize kiasi gani. Vinginevyo kusaidiwa na wahuni kuko pale pale.
 
Jamani ndoa zina malengo mengi, kuna mtu anaoa kwa sababu ya watoto na kutunziwa nyumba na Mali nyingine.
kama watoto ameshapata papuchi anawaachia wahuni waangaike nayo ye anaangaikia pesa na ustawi WA maisha ya wanawe.

We unasema unaiba na yeye anasema bora angetokea mhuni anisaidie kusugua.

kwisha mjadala. mkuu umemaliza.
 
Hakuna jipya, huyu maza ni kicheche na alijitongozesha yeye mwenyewe. Unavyompa mtu namba yako ya simu maana yeke utahitaji kuwasiliana naye. Pili unapotoa masharti ya muda wa kukupigia maana yake ushajua mada mtakayokuwa mnaongelea. Ni mfusika tu wala umaarufu wa mumewe hauhusiki hapa. Wadada na wamama ni uamuzi wenu. Unayeamua kutulia tulia, unayeamua kuchepuka chepuka. Maisha ni yako uamuzi ni wako ILA USIIGE
 
Stori za vilingeni sizakuaminika sana.

After all ukweli unabakiki pale pale kwamba vijana wanasugua ngozi.
 
Hakuna jipya, huyu maza ni kicheche na alijitongozesha yeye mwenyewe. Unavyompa mtu namba yako ya simu maana yeke utahitaji kuwasiliana naye. Pili unapotoa masharti ya muda wa kukupigia maana yake ushajua mada mtakayokuwa mnaongelea. Ni mfusika tu wala umaarufu wa mumewe hauhusiki hapa. Wadada na wamama ni uamuzi wenu. Unayeamua kutulia tulia, unayeamua kuchepuka chepuka. Maisha ni yako uamuzi ni wako ILA USIIGE

ndiyo maana mnakosa madili mjini kupewa namba tu unawaza kumvua pichu mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
ndiyo maana mnakosa madili mjini kupewa namba tu unawaza kumvua pichu mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Huyu si kamegwa au mimi sijasoma vizuri? Mimi nina namba za wamama wengi tu wafanya maamuzi lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunipa masharti ya muda wa kupiga na hakuna hata mmoja niliyewahi kumpigia usiku kwa kitu ambacho kingeweza kungoja kesho. Huyu maza ni kicheche tu usimtetee Miss Chagga
 
Jana nilikuwa sehemu nimekaa na kupiga story na wahuni fulani, mhuni mmoja akaibuka na story, alikutana na mke wa mtu, mke mwenyewe yupo fiti na ana usafiri wake na biashara zake, kifupi mke wa mshua hapa town,

Mhuni akampiga sound, akatoa namba ya simu kwa mashariti asimpigie usiku, mwisho wa kupiga saa 12, mhuni akaendelea kuchat sana, huku akichomekea hapa na pale, siku ya siku mke wa mshua akala ndoano, mhuni alisema alimpa ujuzi wote, eti nilikuwa nazama hadi chunvini,

Nilimpagawisha hadi mke wa mshua akawa anasema mme wangu hanifanyii haya, mhuni anasema anaendelea kula mzigo na mke wa mshua kadata. Haya sasa washua, wahuni wanajituma kuliko maelezo.

Kuna ukweli kwa zaid ya asilimia 70 katika kisemwacho na mkuu JEKI , si unajua tena chimbo la ugenini? namna mdau anavyoweka vikorombwezo vyote ili tu aweze jihakikishia namba na usajili wa kudumu .
 
Last edited by a moderator:
kwisha mjadala. mkuu umemaliza.

Hawa ndio wale wanaenda kuiba dampo, wakati dampo kitu unachukua kwa sababu kimetupwa na matumizi yake yameisha au ubora umeporomoka.

Kila kitu ukikaa nacho sana kinachosha na kukizoea.

Ata kama uwe na mapenzi vip hauwezi kupenda kwa uwiano sawa kwa miaka yote iwe kwa me au ke.

Wahenga wanasema "GANDA LA MUA LA JANA SISIMIZI KAONA MALI.
Sasa apa wahuni ndio sisimizi, mua ni mke na aliekula mua ni mume WA ndoa.
 
Huyu si kamegwa au mimi sijasoma vizuri? Mimi nina namba za wamama wengi tu wafanya maamuzi lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunipa masharti ya muda wa kupiga na hakuna hata mmoja niliyewahi kumpigia usiku kwa kitu ambacho kingeweza kungoja kesho. Huyu maza ni kicheche tu usimtetee Miss Chagga

haya basi amegwe tu kamahawezi tumza papuchi amegwe tu
 
Sawa bhana lakini wewe mhuni tambua kuwa leo ni siku yako ya 36 hivyo zimebaki siku 4 tu!
 
Back
Top Bottom