Unaelewa maana ya serikali?Sheria ipi hiyo inayosema kuwa hoja za CAG zijibiwe na kamati za bunge badala ya serikali ambao ndiyo wanatumia pesa husika?
Point yako hapa ni ipi?Unaelewa maana ya serikali?
Wewe bora ukae kimya, huna unachojua au kufahamu.Sheria ipi hiyo inayosema kuwa hoja za CAG zijibiwe na kamati za bunge badala ya serikali ambao ndiyo wanatumia pesa husika?
Hata ukieleweshwa wewe huelewi,akili yako ilishajifunga.Point yako hapa ni ipi?
Huna unachokijua na hili linathibitishwa na kushindwa kwako kujenga hoja.Hata ukieleweshwa wewe huelewi,akili yako ilishajifunga.
Sina huo muda,wewe Tuambie.Kawaulize kwanini huku kanda ya ziwa bado wako na Jpm
Siwezi kujenga hoja kwenye umbea.Huna unachokijua na hili linathibitishwa na kushindwa kwako kujenga hoja.
Basi baki na kutoelewa kwako!Sina huo muda.
Wewe ndiye ambae huna unalolijua na hili limethibitika kwa kushindwa kwako kujenga hoja.Leta hoja na siyo viroja.Wewe bora ukae kimya, huna unachojua au kufahamu.
Kwa hiyo kila mtu akitakata kujua kwa nini jiwe anapendwa inabidi asafiri kwenda kuwatafuta hao wanaompenda aanze kuuliza?!Basi baki na kutoelewa kwako!
Haya basi mfate huko motoni alipoNimegundua wanasiasa wengi wa Nchi hii ni Majizi ya pesa za Umma.Ila tutamkumbuka sana Magufuli hasa mm binafsi Kwa kz nzuri aliyotufanyia sitabadilika hata siku Moja juu ya huyu Shujaa wa Afrika Mzalendo wa kweli juu ya Nchi yake Tanzania.
Jiwe ndiye nani? Kama unaongelea jiwe basi hutolipata huko. Nikajua unaongelea vitu vya maana,kumbe mawe!!!Kwa hiyo kila mtu akitakata kujua kwa nini jiwe anapendwa inabidi asafiri kwenda kuwatafuta hao wanaompenda aanze kuuliza?!
Shujaa wa Africa ,aliifanyia nini Africa mpaka mumuite shujaa wa Africa? Kuna nchi zozote alizikomboa /saidia kupata uhuru wake?Nimegundua wanasiasa wengi wa Nchi hii ni Majizi ya pesa za Umma.Ila tutamkumbuka sana Magufuli hasa mm binafsi Kwa kz nzuri aliyotufanyia sitabadilika hata siku Moja juu ya huyu Shujaa wa Afrika Mzalendo wa kweli juu ya Nchi yake Tanzania.
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kupoteza muda wake kupiga porojo kwenye umbea.Siwezi kujenga hoja kwenye umbea.
Kama tu aliyoyafanya hapa nchini huyaoni utayaona ya nchi nyingine usiwe mtumwa wa ubaguzi na wizi wa Mali za umma fanya kz.Shujaa wa Africa ,aliifanyia nini Africa mpaka mumuite shujaa wa Africa? Kuna nchi zozote alizikomboa /saidia kupata uhuru wake?
Sema shujaa wa Chato
Kama una akili timamu unaweza kuibua hoja juu ya tril 1.5 wakati PAC walitoa majibu na Zitto akapata aibu kubwa. Huna akili we mpuuzi mkubwa.Wewe ndiye ambae huna unalolijua na hili limethibitika kwa kushindwa kwako kujenga hoja.Leta hoja na siyo viroja.
Nashukuru kwa kulijua hiloNi punguani peke yake ndiye anaweza kupoteza muda wake kupiga porojo kwenye umbea.
Hujaweza kujibu swali langu la msingi kwa sababu mpuuzi mkubwa ni wewe.Kama una akili timamu unaweza kuibua hoja juu ya tril 1.5 wakati PAC walitoa majibu na Zitto akapata aibu kubwa. Huna akili we mpuuzi mkubwa.