johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Penye ukweli uwongo hujitenga.
Kama ni kweli hayati Magufuli alifanya ufisadi mkubwa huku kila mtu akiogopa kumwambia labda yule kidume Tundu Lisu tu, maana yake ni kuwa Katiba yetu ni mbovu sana.
Kinachonishangaza Zitto Kabwe ndiye mwenye Hoja ya ufisadi wa Magufuli lakini Zitto Kabwe huyo huyo hataki Katiba mpya ipatikane sasa hadi baada ya miaka kenda ijayo.
Zitto Kabwe anataka Tume mpya ya uchaguzi kana kwamba ndio itasimamia rushwa na ufisadi.
Kama Rais Magufuli alifanya ufisadi wakati Zitto Kabwe akiwa bungeni na alishindwa kukemea basi ni vema Zitto awaishwe Milembe hospital kabla hajaathirika zaidi.
Ramadan kareem!
Kama ni kweli hayati Magufuli alifanya ufisadi mkubwa huku kila mtu akiogopa kumwambia labda yule kidume Tundu Lisu tu, maana yake ni kuwa Katiba yetu ni mbovu sana.
Kinachonishangaza Zitto Kabwe ndiye mwenye Hoja ya ufisadi wa Magufuli lakini Zitto Kabwe huyo huyo hataki Katiba mpya ipatikane sasa hadi baada ya miaka kenda ijayo.
Zitto Kabwe anataka Tume mpya ya uchaguzi kana kwamba ndio itasimamia rushwa na ufisadi.
Kama Rais Magufuli alifanya ufisadi wakati Zitto Kabwe akiwa bungeni na alishindwa kukemea basi ni vema Zitto awaishwe Milembe hospital kabla hajaathirika zaidi.
Ramadan kareem!