Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,913
Wizi wa trillion 1.5 na zaidi.Sema uovu mmoja aliofanya
Manunuzi ya meli hewa ya Mv Dar es Salaam
Kuwafuga na kuwalea watu wasiojulikana
Kuwajaza watu was kabila lake kila sehemu
Inasemekana kuna zaidi ya bilioni 800 zimefichwa Canada awamu ya 5!
Nimeletewa hii taarifa hadi nimeshangaa!! Of course hili jambo nilikua nalijua lakini nilikua nalijua juu juu tu Sasa nimeletewa data kamili,naambiwa kuna zaidi ya bilioni 800 zimefichwa Canada! Na hili lilifanyika awamu ya Tano na Doto james alikua hazina! Na inasemekana zilikua ni baraka...
www.jamiiforums.com
Sema uovu mmoja aliofanya