HakikaHawana tofauti na wafuasi wa shetani ambao wanapotosha Neno la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais
Bwashee hujakatazwa andikaHawana tofauti na wafuasi wa shetani ambao wanapotosha Neno la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais
Nimepita koridoni nikaona uzi ni wakoHahaha
Si kwa kuninanga huku.🤣🤣🤣
Naliweka sokoni nipige ngondi walah🤣
Naona leo umekuja huku jukwaa pasua kichwa kusaka hedeki😀
Naam huo ndo uwakala wa nguvu za giza.mandamano ya katiba hayana nia njema kwa mnyonge
mahitaji ya watanzania si katiba kwa sasa katiba tulio nayo haina shida pia ilani ya chama cha mapinduzi ni mkombozi barani afrika si tanzania pekee
SIO WAHUNI BALI NI WAJINGA NA WAPUMBAVUHawana tofauti na wafuasi wa shetani ambao wanapotosha Neno la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais
Ni kweli tunahitaji katiba mpya. Lkn katiba huwa inapatikana baada ya kuchapana na kuuana.Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais
katiba ya waTanzania inatazamiwa kuanza kusukwa mapema mara baada ya uchaguzi mkuu 2025.Hawana tofauti na wafuasi wa shetani ambao wanapotosha Neno la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais
Hapo umetumia akili yako yoote kuandika ulichoandika and yet unatufokea.katiba ya waTanzania inatazamiwa kuanza kusukwa mapema mara baada ya uchaguzi mkuu 2025.
that one must be clearly known to you all my fellow citizens 🐒
hii ya makelele mingi, porojo, stori, blackmailing at sijui maandamano are useless ni bure kabisaa wastage of time 🐒
kwamba ukisema wewe ndio katiba akisema mwingine sio katiba....
ifike mahali kukubaliana kutofautiana, na sio kulazimishana, kulaumiana, kushurutishana na kutishiana. This country belongs to us all 🐒
alaaa.....
tuheshimiane kidogo basi tafaddhalli ndrugu zango 🐒
Wahuni sio WatuHawana tofauti na wafuasi wa shetani ambao wanapotosha Neno la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais
HahaaHii miandiko yenu mnaonesha bado mna hela mifukoni.Nahesabu hadi zipite siku kumi na mbili ndiyo mtaanza kuandika madini.
Hawa ni Wapumbavu Wajinga WA mwishoHawana tofauti na wafuasi wa shetani ambao wanapotosha Neno la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Tunataka KATIBA mpya na siyo hisani za rais