Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Rais anavunja katiba wazi wazi kwa kuzuia mchakato wa Katiba Mpya. Anaposema wananchi hawana ufahamu kuhusu Katiba, yeye ni malaika? Aliikuta Katiba na wananchi tunataka Katiba Mpya ili tuweze kurekebisha makosa ambayo watawala wanayafanya wakiamini uongozi ndiyo umiliki wa nchi
Rais anapaswa kufahamu kwamba nchi hii haimilikiwi na vyombo vya ulinzi na usalama bali wananchi kwa ujumla wao.
Mchakato wa Katiba Mpya siyo zawadi bali ni TAKWA la wananchi.
SIsi siyo wajinga
Rais anapaswa kufahamu kwamba nchi hii haimilikiwi na vyombo vya ulinzi na usalama bali wananchi kwa ujumla wao.
Mchakato wa Katiba Mpya siyo zawadi bali ni TAKWA la wananchi.
SIsi siyo wajinga