Hapo sasa mhariri gani yupo tayari kuacha pesa yote hiyo wakati wahariri wetu wanahalili njaa na matumbo yao.Mkuu umesema mwenyewe kwamba zimetumika 430 mil kwa wahariri, hapo unadhani kila mmoja kalamba kiasi gani, halafu amwachie mwandishi badala ya yeyey mwenyewe kuingia mbele! Chezea shekeli wewe
Yaaani mtu anayetakiwa kuchomwa moto kwa ujambazi Leo mnampa nafasi ya kutangaza Nia. kwahili Nakilaumu chama changu ccm
mkuu kuna kigogo mmoja kanitonya kwamba hii mbinu anayoitumia lowasa ndoambayo ilitumika kwa jk mwaka 2005.
l
Yaaani mtu anayetakiwa kuchomwa moto kwa ujambazi Leo mnampa nafasi ya kutangaza Nia. kwahili Nakilaumu chama changu ccm
Hapo sasa mhariri gani yupo tayari kuacha pesa yote hiyo wakati wahariri wetu wanahalili njaa na matumbo yao.
Ccm ni zaidi ya Jehanam.... Sipati picha ingekuwa ni Chadema inhekuaje leo
Hilo Ni kweli kabisa aliwachafua akina sumaye, Shamed Salim, Mwadosya na wengine Bahati mbaya sana walichelewa kushitukia mpaka wakashituke alishawachafua mbaya kabisa...
Jakaya kamchagua E.Lowassa kuwa Rais wa Tanzania.kwa mamlaka aliyonayo ya uraisi anao uwezo wa kuzuia kusanyiko lolote nchini,na kwa sheria za habari anao uwezo wa kuzia wasirushe hiyo habari live.
Ila kwa kwa kuwa riasi aliyepo madarakani ni Jakaya Kikwete ...... ha22ezi kumzuia mtu,ni muungwana sana.
yaani ukiisha uchaguzi huu halafu kuna mhariri akaendelea kuishi Nyumba ya kupanga ainunue hata kigari basi huyo mhariri hatakaa anunue...