Inaonyesha kuwa wako compromised na hawako neutral...wanafedheheshaWadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
Wadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
KADA AFICHUA SIRI MBIO ZA LOWASA
Hata hivyo katika kundi hilo la wajumbe waliokwenda kwa Lowasa , mjumbe mmojawapo amezungumza na waandishi wa habari na kwenda bayana kuwa hakuwa akijua kinachoendelea
mimi nilikuwa pale makao makuu, nikawakuta watu pale wapo na magari wanasema twendeni nikapanda gari nikaenda, nilipofika kule nikashangaa kuona mambo yanayoendelea. Hata zile shilling laki sita (600,000) zilizotolewa na Mukasa wala hatukuchangishana, alizitoa mwenyewe mfukoni mwake Jacqueline Ngonyani mjumbe kutoka Ruvuma.
Chanzo Raia Tanzania
Toleo no. 0338
Mtu na akili zako timamu upande gari usijuwe unapokwenda? Akajambe mbele huko asidhani kila mtu ni mpumbavu mwenzake.
We unayejifanya kusema walipewa bahasha argue kwa constructive criticism tupeni mfano wa maswali angalau 2 tu ambae we unayejiita mwenye akili ungeweza kuuliza kaa hamna
Mkae kimyaa
Mkapa aliposema kuwa Tanzania hakuna waandishi wa habari watu walikuja juuu sana. Juzi imejidhihirisha kwenye mkutano wa Lowassa na 'Wahariri'
. Mmoja wao aliuliza, Mheshimiwa unajisikiaje watu kukuita Edward?
Kwa mtazamo wangu ni aibu kwa mwandishi wa habari kuuliza swali la kipumbavu namna hii kwa mtu anayewania nafasi nyeti katika Taifa. Ni aibu kumwuliza mtu anayewania nafasi inayogusa maisha ya maskini walio wengi katika taifa hili. Ni aibu kuuliza swali la kijinga wakati nchi iko hoi kiuchumi.
NB. Mwenyekiti jukwaa la Wahariri mnaaibisha taifa.
Mkapa asante kwa kuuona ukweli huu.
[h=3]Role Model[/h]
Role Model
Role Model is an individual whose activities and experiences provides a model around which others can understand the meaning of a concept or form of life at the level of their own individual practice. Indeed, it is difficult to see how an abstract concept can be integrated and understood by someone, until they can see how it can be lived.
Skuizi gazet langu ni raia mwema hao wengine wakina MAWIO TANZANIA DAIMA'UHURU,MZALENDO,wapo kiitikadi zaidi
ulitaka wakupgie wewe au ulitaka wampgie mgombea wako...lowasa ndiye rais ajaye 2015-2025Wadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
chekechea ya nchi gani hiyo na mimi nipeleke wanangu ndugu mantissa?