Wahariri kuipigia makofi hotuba ya Lowassa

Wahariri kuipigia makofi hotuba ya Lowassa

Kwa vigezo vyetu watanzania vya kuangalia viongozi wenye mvuto kwa wananchi basi kwa hayo ayafanyayo Lowassa ni kawaida tu,kwa sababu utaupataje mvuto kwa wananchi?

nakumbuka mwaka 2005 jk alikuwa na mvuto kama huohuo.lakini baada ya kuingia watanzania hatutasahau..
 
wahariri wa Tanzania ni njaa tu na bado wataendelea kusaliti sana
Taifa letu kila mtu na nafasi Yake ni njaa na usaliti kwenda mbele kwani wapi pana nafuu? Polisi? Mahakama? Bunge ama ikulu . Watanzania kwa kifupi tumechemsha
 
Jambazi kawaibia watanzania halafu ana taka kulipwa urais na watanzania badala ya kupelekwa jela ambayo ndiyo haki yake.
 
Watanzania ni wajinga sana, ukiuliza kati ya wote wanaomuunga mkono Lowassa wakauambie sifa hata moja tu ya uongozi mzuri alionao, watabaki kutoa mimacho tu...watu wanaleta ushabiki wa kijinga kabisa pasipo kujiuliza ni kwanini wanafanya hivyo???

Nyambafu!
 
Ngoja nitoke huku!Mana napata hasira tu na UPUMBAVU wa WATANZANIA WENZANGU!
 
Muda huu naona tangazo la Lowassa kutangaza nia Arusha leo likirushwa kupitia Channel 10.Nachojiulizi ni hizi fedha atazirudishaje huyu mtu?!

Hii nchi ina wajinga wengi!
 
Hivi wanapewa kwa m-pesa kama zile za wakati ule walizorushiwa na Pasco ambaye alitaka kuwatapeli kama siyo wahariri kukomaa hahahaaa.....

Njaa inazorotesha harakati. Tumbo adui mkubwa!!
 
Last edited by a moderator:
Labda pia mmeshasahau huyu wa sasa aliingiaje madarakani.....ni mtindo huu huu tunaoushuhudia sasa plus na mgawanyo wa the so called 'makundi' na ni huyu huyu anayefanya hivi sasa ndiye alikuwa injinia mkuu wa shughuli iliyomuweka wa sasa madarakani.....we are doomed!
 
Muda huu naona tangazo la Lowassa kutangaza nia Arusha leo likirushwa kupitia Channel 10.Nachojiulizi ni hizi fedha atazirudishaje huyu mtu?!

Hii nchi ina wajinga wengi!

nasikia tukio hili litarushwa na tv zaidi ya tatu na redio zisizopungua sita.inawezekana mkutano wa leo ukagharimu bilioni. huyo ndo rais mtarajiwa wa tanzania. anapendwa kutokana na mfuko wake. wote wameufyata sio NEC ,CC wala mkutano mkuu.
 
Crashwise nobody will trust you. Unavyozungumza ni Kama umefukuzwa kwenye time ya maandalizi kwa usaliti!

Msamehe huyo Crashwise ni kielelezo cha bavicha kulivyo jaa watu wenye uwezo mdogo sana wakueleza mambo bila mihemko....

Pia muache aendelee kumpigia campaign Lowasa maana kule UKAWA hakuna wa kumnadi.
 
Last edited by a moderator:
Jamani wa tz msikubali kununuliwa

Mkuu mi nadhani wahariri wako sahihi kula za wajinga. Lowassa anadhani fedha zitampeleka ikulu.

Hiki ni kipindi cha wahariri kuwa na maisha ya peponi hahahahaaa....... Wale ambao hawajawahi kufikiri watanunua magari hiki ndo kipindi cha kuwa na magari ya kifahari.
 
Kulikuwa na kamati ya maandalizi ilikuwa inaendelea hapa New Safari Hotel chini ya Mathias Manga na Papa King timbwili liliibuka baada ya Mathias Manga kusema ametumia mil 430 Kwa wahariri Wa vyombo vya Habari vyote nchini ambao tayari wako Arusha wakijiandaa na tamasha la kesho yaani leo Papa King alipinga mahesabu hayo kuwa walikubaliana watumie mil 220 iweje iongezeke kiasi hicho huku wakishindwa kuwaongezea wanafunzi Wa chuo cha Moshi ambao wamewalipa 10,000 kila mmoja licha ya kwamba walikuwa na manunguniko hali hiyo ilipelekea Mkurugenzi wa kampuni ya monaban kuingilia kati na kuhakikisha mambo yanaenda sawa... kuna maswali hapa ya kujiuliza kumbe wahariri wote Leo watakuwa stadium sheikh amri abeid ina maana hawawa amini waandishi wao je wanatuambia sisi wasomaji kuwa sasa tusi amini magazeti mpaka wahariri wawe eneo la tukio..
2. wanafunzi kulipwa 10,000 ili kusaliti watanzania na kwenda kumpigia makofi jambazi ambaye alipaswa kuchomwa moto kumbe nikiwa na 10000 naweza kupata hata visifuli vyao, hii inazidi kaiaibisha elimu ya mtoto Wa mtanzania eti mwanafunzi Wa chuo kununuliwa Kwa 10000 huu Ni utahira kabisa hata kama hamjapewa mkopo wenu...
3. Jambazi kama unatumia 430 Kwa wahariri tu siku ya kutangaza nia je mpaka ukamalize kampeni utakuwa umetumia kiasi gani? na utazirejeshaje hizo pesa...

Ama kweli Tanzania nchi ya kitu kidogo siyo wachungaji, masheikh, wahariri, waandishi, wanafunzi naomba Mungu awape ufahamu wakutambua mazuri na mabaya mmykatae jambazi kama nakama mbafanya hivyo kumalizua Nyumba zenu ombi langu msutumie kalamu zenu kuwapotosha watanzania...

ACHA UONGO NA UNAFIKI WEWE,yapuuze/ to be ignored
 
Back
Top Bottom