Kulikuwa na kamati ya maandalizi ilikuwa inaendelea hapa New Safari Hotel chini ya Mathias Manga na Papa King timbwili liliibuka baada ya Mathias Manga kusema ametumia mil 430 Kwa wahariri Wa vyombo vya Habari vyote nchini ambao tayari wako Arusha wakijiandaa na tamasha la kesho yaani leo Papa King alipinga mahesabu hayo kuwa walikubaliana watumie mil 220 iweje iongezeke kiasi hicho huku wakishindwa kuwaongezea wanafunzi Wa chuo cha Moshi ambao wamewalipa 10,000 kila mmoja licha ya kwamba walikuwa na manunguniko hali hiyo ilipelekea Mkurugenzi wa kampuni ya monaban kuingilia kati na kuhakikisha mambo yanaenda sawa... kuna maswali hapa ya kujiuliza kumbe wahariri wote Leo watakuwa stadium sheikh amri abeid ina maana hawawa amini waandishi wao je wanatuambia sisi wasomaji kuwa sasa tusi amini magazeti mpaka wahariri wawe eneo la tukio..
2. wanafunzi kulipwa 10,000 ili kusaliti watanzania na kwenda kumpigia makofi jambazi ambaye alipaswa kuchomwa moto kumbe nikiwa na 10000 naweza kupata hata visifuli vyao, hii inazidi kaiaibisha elimu ya mtoto Wa mtanzania eti mwanafunzi Wa chuo kununuliwa Kwa 10000 huu Ni utahira kabisa hata kama hamjapewa mkopo wenu...
3. Jambazi kama unatumia 430 Kwa wahariri tu siku ya kutangaza nia je mpaka ukamalize kampeni utakuwa umetumia kiasi gani? na utazirejeshaje hizo pesa...
Ama kweli Tanzania nchi ya kitu kidogo siyo wachungaji, masheikh, wahariri, waandishi, wanafunzi naomba Mungu awape ufahamu wakutambua mazuri na mabaya mmykatae jambazi kama nakama mbafanya hivyo kumalizua Nyumba zenu ombi langu msutumie kalamu zenu kuwapotosha watanzania...