Wahariri kuipigia makofi hotuba ya Lowassa

Wahariri kuipigia makofi hotuba ya Lowassa

Wanazani kuwa ni mjinga anajua akiingia ikulu atazirudishaje we waache wanaona raha subiri
 
binafsi sijaona kosa la waandishi. wao wanatawanya habari.wananchi wataamua.cha msingi waripoti kwa usawa
.
Hivi mwandishi unamuuliza Lowassa eti huoni watu kukuita wewe Edo wanakukosoe heshima? Hili ndio swali la kumuuliza anaetaka uraisi kweli?Huyu ni mwandishi au kanjanja?

Swali lingine.Ni kweli wewe ulikuwa captain wa jeshi?

Hayo ndio maswali?
 
Baadhi ya wanahabari wa nchi hii na kwakweli ndio wengi, wanastahili kunyang'anywa vyeti vyeti na wanatakiwa warudi darasani.

These people are hopeless!
Ungevifuta vyeti vya waandishi gani wa Tanzania Daima na Mawio?
 
Teh Teh Bavicha mmechanganyikiwa siku wa kianza kurushwa UKAWA napo utavifuta? TehTeh hii ndio maana ya demokrasia tulia dawa ikuingie...
Hivi mmemaliza kugombania majimbo?

Mbona unarukia hoja bila kuielewa wewe interahamwe?
 
Hivi mwandishi unamuuliza Lowassa eti huoni watu kukuita wewe Edo wanakukosoe heshima? Hili ndio swali la kumuuliza anaetaka uraisi kweli?Huyu ni mwandishi au kanjanja?

Swali lingine.Ni kweli wewe ulikuwa captain wa jeshi?

Hayo ndio maswali?

Mkuu kama ulivyosema kuwa njaa ndio inapelekea baadhi ya waandishi kununuliwa na mafisadi kama lowasa
 
star tv wanawachana vizuri,hawa waandishi wanaongea vema tu,huyu bwana alikuwepo wakati ilani inaandikwa sasa leo anasema ati serikali imekosea
 
Let do the best God will do the rest as he knows better about this guy (Lowasa)
 
Baadhi ya wanahabari wa nchi hii na kwakweli ndio wengi, wanastahili kunyang'anywa vyeti vyeti na wanatakiwa warudi darasani.

These people are hopeless!
Udhalimu wa waandishi wa habari na wahariri wao haukuanza leo. Marehemu Ben Rashid Mtobwa (mwenyezi MUNGU akurehemu na kukupa raha na mwana wa milele) alipoandika kitabu cha "PESA ZAKO ZINANUKA" miaka 30 iliyopita, aliuelezea udhalimu wa waandishi wa habari na wahariri wao kwa kupokea rushwa, kuugandamiza ukweli na kuonea. Waandishi wa habari na wahariri wao kwa kupewa vibahasha wameuza utu wao na kuwasaliti watanzania.

Cc Crashwise Molemo
 
Last edited by a moderator:
Moderator thread yangu inauhusiano gani na hii au nanyie Ni moja ya wahariri mliolamba mil 430 mpaka zikasavabisha tibwili kati ya manga na papa king..
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa Kama moja ya Mwandishi na Muhariri hawa wenzangu wametufedhehesha sana
 
Ninaangalia Chanel 10 marudio ya mahojiano ya Waandishi na Mh.Lowasa!ninachokiona ni waandishi ma-bogus wakiongozwa na Jared Hando,ni kama wapo kijiweni wanakunywa kahawa.Hawana maswali ya kufikirisha na hata majibu ya ajabu ajabu yanapotolewa wanakosa cha kufanya.Nawaona kina Kibanda,Sanga,Hamis Damumbaya na Manyerere wanapiga makofi na kujichekesha na kumwita Lowasa rais na waziri mkuu mstaafu.Kingine Lowasa hawezi kujieleza vizuri na anapoteza kumbukumbu.Nimeshangaa sana anapokashfu sera ya Kilimo Kwanza ambayo ni sera ya CCM,Kingine Lowasa anatafuta pa kuegemea,mara Clinton na Obam wameunga mkono mitambo ya Richmond,na bado waandishi hawana maswali ya kushindilia
 
Inashangaza Jared Hando kuwa mshadadiaji mkuu.watangazaji wanauliza mambo ya Simba na Yanga,eti ataisaidiaje Simba
 
Hivi mwandishi unamuuliza Lowassa eti huoni watu kukuita wewe Edo wanakukosoe heshima? Hili ndio swali la kumuuliza anaetaka uraisi kweli?Huyu ni mwandishi au kanjanja?

Swali lingine.Ni kweli wewe ulikuwa captain wa jeshi?

Hayo ndio maswali?

hebu weka mambo hadharani. ni mhariri wa gazeti gani aliyeuliza swali la kipumbaFU kama hilo? bila shaka atakuwa mhariri wa Habari Leo, Jamba Leo, Uhuru, Mzalendo, Majira au Daily News maana wahariri wa vyombo hivi ndio wanaojitoaga akili kila uchao.
 
Back
Top Bottom