Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Kama wanajifanya ni tabia yao basi for every visit at your place make two at theirs, wataelewa shidya ya unexpeted visits. Au waambie next time wakupigie maana 'almost wangekukosa'. ila changia msosi tu, usiwanyime. Wakija tena you say the same and unajifanya kutania but ndio unamaanisha: hivi nyinyi kutoa taarifa mmeshindwa kabisa? shauri zenu ipo siku mtafika mnakuta fridge nyeupeeee, hata cha kuwakaribisheni sina. Hapo lazima wataelewa tu. Mbona tunaelewa visomo vya kanga jamani, ndio message kama hii tushindwe?RR kuna watu wengine wanafanya hii kuwa ni tabia yao kila mara hufanya hivi labda kwa mwezi mara tatu au nne (hasa weekend na siku za sikukuu) , watu kama hawa ni lazima kuwafahamisha kwamba hali hii haikubaliki lakini kama inatokea mara moja moja sana basi hakuna ubaya hata kuongeza chakula (kama kipo) ili nao wapate msosi.