Wageni wa 'ghafla' majumbani mwetu.....

bahati nzuri mie wananijua situlii nyumbani na mama ngina...........kila wakija hawatukuti, hiyo imewashikisha adabu huwa wanapiga simu kwanza............ na leo wote tumezima simu kwa raha zetu....................
 
Ndio hivo. Kuna ambao wamesalia mskiti wa mbali ila watakuja tu. Hakuna mgeni wa ghafla siku ya shughuli kama IDI bwana. Siku hiyo nyumba iko wazi kwa family gathering na watu mnakumbukana, mnajuliana hali na kukumbushana vya zamani. Kuna watu huwaoni zaidi ya siku hiyo sababu ya time schedule. Very nice surprise wakija unexpected!

RR kama huna kitu ndani unafanyaje maana maisha hayatabiriki haya?
 
watu tupo tofauti
mimi huwa napenda kujua nani na nani wanakuja kwangu
'sio ghafla' ulipanga bajeti ya watu wanne,ghafla una watu kumi na mbili
na wameingia 'lunch time' hadi 'wageni wako' hawa enjoy...

nisubiri hapo hapo nikuPM. Umenipandisha hasira boss na umenikumbusha ile meseji yako ya sijui wapi wamesha achana biashara ya kupika hadi nyumba zao hazina majiko. Nisubiri nakuzukia sasa hivi huko huko. Usituletee mila za 'kidhungu' hapa.
 
bahati nzuri mie wananijua situlii nyumbani na mama ngina...........kila wakija hawatukuti, hiyo imewashikisha adabu huwa wanapiga simu kwanza............ na leo wote tumezima simu kwa raha zetu....................

Mimi huwasizimi Simu wakipiga hata saa nane usiku watanipata, iswezi kuzima simu kwa ajili wageni. Kelele zao hazinifanyi nisislale.
 
Unaanza kukuna kichwa huku huna majibu ya nini kifanyike..

Jamani mmenikumbusha kwa mama yangu. Huuuuuh bibi ana wageni yule mpaka uta-blow!

Ameamua kuwa anaagiza chakula kwa wapishi.....na pale nyumbani anapika cha design nyengine kwa kuwa tu anajua atapata wageni kisha wengine watakuwa na "special diet" lol

Mara huyu hali pilau, yule hali chumvu, mwengine lazima chukuchuku! Kisha wanakuja ghafla tu...
 
Ila akija demu bila taarifa, aaaaaaaaaah, hakuna noma kaja kakako unaona noma, mweeeeeeeee! Mi nkiwa sina kitu ndo presha huwa inapanda lakini kama ni fresh, hata ukoo ukija sina noma, mbona mie nimelelewa ktk makuzi ya kuwathamini wageni, waje kwa taarifa au la, haina kwere!

yaani sijui tukoje? Hovyo kabisa
 
Jamani mmenikumbusha kwa mama yangu. Huuuuuh bibi ana wageni yule mpaka uta-blow!

Ameamua kuwa anaagiza chakula kwa wapishi.....na pale nyumbani anapika cha design nyengine kwa kuwa tu anajua atapata wageni kisha wengine watakuwa na "special diet" lol

Mara huyu hali pilau, yule hali chumvu, mwengine lazima chukuchuku! Kisha wanakuja ghafla tu...


Gaijin umenichekesha sana ,lakini eti tunaamini wageni ni baraka nyumba isiyo na wageni ...
 
Jamani mmenikumbusha kwa mama yangu. Huuuuuh bibi ana wageni yule mpaka uta-blow!

Ameamua kuwa anaagiza chakula kwa wapishi.....na pale nyumbani anapika cha design nyengine kwa kuwa tu anajua atapata wageni kisha wengine watakuwa na "special diet" lol

Mara huyu hali pilau, yule hali chumvu, mwengine lazima chukuchuku! Kisha wanakuja ghafla tu...

umeona sasa?
mtu anataka 'special diet' kwa mtu ghafla bin vuu.....lol
ukiuliza nini eti tupate 'thawabu' lol
 
Gaijin umenichekesha sana ,lakini eti tunaamini wageni ni baraka nyumba isiyo na wageni ...

Barka lakini mie naona ukiwa unahitaji special diet basi walau nenda mapema, kupatikane kufanywa mpango kabisa

Mtu kaja saa sita na nusu, mnaambiwa mkapike "wali wa maji wa kuchuja" na "supu ya chukuchuku" kisa mtu mafuta hali! lolz

Mwenyewe umetinga viwalo vipya ukapambane na "mkaa" pengine! lolz

Walikuwa wananiweza sana
 
Huyo usilmei sana. Mwambie tu hakuna utaona anafinya ule ule wa chumvi na sukari. alafu anakwambia baada atapiga sindano. lol

hahahaha loool

If it was up to me I would, lakini kuna mwenye nyumba "Bi mama" na huyo pengine ni mjomba wake. Hawezi kumfanyia hivyo. So wewe mtoto unaambiwa ukapike.

Sijui hata thawabu kama tulikuwa tukipata, manake moyoni ume-mind vibaya....lol
 
hahahaha loool

If it was up to me I would, lakini kuna mwenye nyumba "Bi mama" na huyo pengine ni mjomba wake. Hawezi kumfanyia hivyo. So wewe mtoto unaambiwa ukapike.

Sijui hata thawabu kama tulikuwa tukipata, manake moyoni ume-mind vibaya....lol
Hahahaha, hizo si za zamani? sisi tunaongelea leo hii, unampata shangazi majaliwa kaja na unoko wake, anachanga sprite na maji, eti anadilute sukari, ila unamuona anapiga chupa la 1/2 l peke yake! lol
 
Hahahaha, hizo si za zamani? sisi tunaongelea leo hii, unampata shangazi majaliwa kaja na unoko wake, anachanga sprite na maji, eti anadilute sukari, ila unamuona anapiga chupa la 1/2 l peke yake! lol

Hahahaha loool ......kimoyo moyo unacheka. Lolz

Mimi hiyo hadi leo, maana kwetu kuna "tradition" ya familia za wanawe wa kiume kukusanyika for lunch together.

Kwa hiyo kila miaka ikisonga wageni ndio wanazidi, maana na hao watoto wa kiume huwa na watu waliowabeba mitaani....

Siku hizi kwa turubali kama kuna harusi za kizamani :]]

looool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom