Hii kali jamani na ndiyo maana tunakosa baraka. Unachukia wageni sababu ya chakula! lo! Mgeni anatumia garama kubwa kuja kwako sababu ya upendo wake kwako. Nauli anayotumia, je asingeweza nunua chakula akala nyumbani kwake? Wengine hawatoi taarifa ili kuepusha mwenyeji kuingia garama za maandalizi na wanatosheka na kila watakachokikuta. Tubadilike lo!